Nikueleweje mwenzangu wewe...

mm the same same day ningekwambia nina mimba,kwani mimba inaingia mara mbili?
 
hahaha! Haya bwana! ngoja tuendelee na movie hapa...
 
Vipi bado hajakwambia tu???
 
Duh? Hakuna cha hiv wala mimba hapo braza, anataka akuchune pesa ya kutolea mimba basi, dogo kua uyaoneeee! Kama ingekuwa mimi akiniambia tu, namjibu zaaa mi nitalea. Kwa kuwa dini zinakataza kuua,kila kijacho duniani mungu anampango mzuri nacho, tuliza bori dogo, akikuambia mkomalie, mwambie azae tu, we kidume mchecheto wa nini mwanangu? Komaaa nae.
 
thread zingine zahitaji meditation b4 replying homie, after some minutes willl be back to answer lkn mmhhh...!
 

sijakuelewa kabisa mdogo wangu!
 
Mind games...
Anapima kama umefika bei kwake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…