Nikumbushwe Mnyama ana viporo vingapi, tafadhali

Nikumbushwe Mnyama ana viporo vingapi, tafadhali

Soma hiyoooo
1790c326cfddc2c063cf5577ecb97510.jpg
 
Ya leo hiyo
26d9b59f55f23f786c1b935cd5a679d9.jpg
Unafanyaje kuattach video halaf ije nzima kama hii pic yako ya msimamo tofauti na nlivyofanya mimi imekuja bila kufunguka 1kwa1. Hii mpaka mtu adownload ndo aone inakuwa haivutii bhana
 
Unafanyaje kuattach video halaf ije nzima kama hii pic yako ya msimamo tofauti na nlivyofanya mimi imekuja bila kufunguka 1kwa1. Hii mpaka mtu adownload ndo aone inakuwa haivutii bhana
Kwa vdeo ukiattach lazma iwe hivyo mkuu labda kama umeweka liñk ya youtube. Picha ùnaattach tu kawaida
 
Wakati ule si mliona viporo vina faida sana kwa Yanga mpaka mkagomea kucheza mpaka hapo Yanga atakapocheza viporo vyake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kugomea kwao ligi hadi Yanga imalize viporo vyake ilisaidia kutupa ubingwa.
Yanga ilimudu kula viporo vyake bila ajizi.

Wakati wakiwa "likizo" eti kwanza Yanga imalize viporo vyake, walipoteza match fitness. Waliporudi likizo wakawa mdebwedo.

Yanga haiwezi kufanya upuuzi kama ule was kuongozwa na akili kama za Haji
 
Back
Top Bottom