Lakini hii si ya mwaka huu ika kiukweli inapunguza ladha ya ligi tff wajirekebisheHhahah maana si kwa mpovu huu
Kwan nan kasema ni ya mwaka huu? Hapa nmekumbusha tyu press yakeLakini hii si ya mwaka huu ika kiukweli inapunguza ladha ya ligi tff wajirekebishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vdeo ukiattach lazma iwe hivyo mkuu labda kama umeweka liñk ya youtube. Picha ùnaattach tu kawaidaUnafanyaje kuattach video halaf ije nzima kama hii pic yako ya msimamo tofauti na nlivyofanya mimi imekuja bila kufunguka 1kwa1. Hii mpaka mtu adownload ndo aone inakuwa haivutii bhana
Kwan nan kasema ni ya mwaka huu? Hapa nmekumbusha tyu press yake
Tulitarajia waandike barua kwa tiefef kukataa viporo ili yasjirudie ya mwaka juziiii
Tatizo sio tff bali simba, mechi yao ya juzi j5 ilikua ya 3 kuomba ihairishwe eti sababu wana mechi za kimataifa....! Simba wanatamni ligi isimame wamalize mechi za kimataifa ndio ligi iendelee...Lakini hii si ya mwaka huu ika kiukweli inapunguza ladha ya ligi tff wajirekebishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ule si mliona viporo vina faida sana kwa Yanga mpaka mkagomea kucheza mpaka hapo Yanga atakapocheza viporo vyake.Kusema kweli inapoozesha ligi tifutifu na bodi ya ligi wajirebishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kugomea kwao ligi hadi Yanga imalize viporo vyake ilisaidia kutupa ubingwa.Wakati ule si mliona viporo vina faida sana kwa Yanga mpaka mkagomea kucheza mpaka hapo Yanga atakapocheza viporo vyake.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli ukimpa yeye kushinda viporo vyote anakuwa na pt 48 bado atakuwa anazidiwa na hapo bado hatujaweka kadroo wala looseViporo vina maana gani ikiwa mpinzani wako anashinda kila mechi?!