Nikweli lugha ya kiingereza ni tamu mdomoni kuliko kiswahili?

Nikweli lugha ya kiingereza ni tamu mdomoni kuliko kiswahili?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Leo nilikuwa kwenye daladala kutoka magorofani kwenda mwenge, nikakuta kuna mjadala unaouhusu ni lugha ipi nzuri kati ya kiswahili na kiingereza yenye kufikisha ujumbe na mtu akakuelewa vizuri.

Jamaa m1 akasema ukimwambia mtu msichana/mvulana NAKUPENDA au kumwambia I LOVE U ni lugha ipi kati ya hizo atafeel kumjali? I miss u, ooh dear na maneneno kama hayo kwa kiswahili ni lipi linafikisha ujumbe na mtu akajiona unamjali?...

Si lazima iwe kwenye mahusiano. Ni lugha ipi tamu kati ya kiswahili na kiingereza yenye ladha tamu mdomoni? linapokuja swala la majadiliano, tamthilia, na vitu kama hivyo?
 
'شمشهنش ىشنعحثىيش ةشمشه
Maliaka nakupenda malika....oczi kiswahili lugha tamu Kwa sbb nyingi mbalimbali !!
 
Kiswahili ni mtoto wa watu (wakuu,
Jf the great thinkers ndiyo wakalimani, Hakuna shida tukigusiagusia kingereza pia ni lugha mama!!
 
Utamu wa lugha ni wewe mwenyewe unavyo ongea, iwe kimatumbi au kingereza!
 
Back
Top Bottom