Mukubwa! Kwani hilo ni la kuuliza? Ni kama vile wauliza msuli (kikoi) Pemba! .
Eeebwanae mimi my Uncle alioa kabisa mke tukijua (akijua) ni fresh kumbe kwao ameacha mtoto na mtoto huyo kuanzia infant alishawekewa a certain protocoal kwamba mamie amwite Aunt.
Aidha mtoto afanyiwapo practise tangu utoto lazima iwe hivyo.
Siri hiyo tumekuja kubaini wakati mtoto wa kwanza kwa mwanamke huyo aliezaa na mjombaangu keshafika form 1 wakati yeye mwanamke firstbone wake yuko UDOM, sasa hii ni moja bt there so much cases abt this circumstance!