S slmmfm JF-Expert Member Joined Aug 14, 2014 Posts 304 Reaction score 65 Aug 18, 2014 #1 Kinachonitisha ni hizo sifa zao eti anatakiwa awe subsidiary mbili za masomo ya sayansi. Hivi kwel nikisoma pale nitakua na soko kwenye ajira. Naomben ushauri wenu.
Kinachonitisha ni hizo sifa zao eti anatakiwa awe subsidiary mbili za masomo ya sayansi. Hivi kwel nikisoma pale nitakua na soko kwenye ajira. Naomben ushauri wenu.
M MANYEMA2013 Senior Member Joined Aug 3, 2013 Posts 118 Reaction score 52 Aug 18, 2014 #2 soko linataka "Professional Competence" na sio "Academic Excellence" achana na sifa za kwenye makaratasi wakati u cant deliver
soko linataka "Professional Competence" na sio "Academic Excellence" achana na sifa za kwenye makaratasi wakati u cant deliver
S slmmfm JF-Expert Member Joined Aug 14, 2014 Posts 304 Reaction score 65 Aug 18, 2014 Thread starter #3 lakin vp kuhusu diploma ya medicine inaweza kunilipa vzr
M MANYEMA2013 Senior Member Joined Aug 3, 2013 Posts 118 Reaction score 52 Aug 18, 2014 #4 slmmfm said: lakin vp kuhusu diploma ya medicine inaweza kunilipa vzr Click to expand... unaajiriwa kituo cha afya popote africa....ni kazi isiyo na mipaka
slmmfm said: lakin vp kuhusu diploma ya medicine inaweza kunilipa vzr Click to expand... unaajiriwa kituo cha afya popote africa....ni kazi isiyo na mipaka
S slmmfm JF-Expert Member Joined Aug 14, 2014 Posts 304 Reaction score 65 Aug 18, 2014 Thread starter #5 MANYEMA2013 said: unaajiriwa kituo cha afya popote africa....ni kazi isiyo na mipaka Click to expand... Nifkili hilo ni lamsing kwangu nitafatilia applctn zao zkoje
MANYEMA2013 said: unaajiriwa kituo cha afya popote africa....ni kazi isiyo na mipaka Click to expand... Nifkili hilo ni lamsing kwangu nitafatilia applctn zao zkoje
Mkudisingo JF-Expert Member Joined Mar 26, 2014 Posts 421 Reaction score 122 Aug 19, 2014 #6 udom hakuna hiyo medicine