Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
ndo kusema yeye atakuwa ana experience na mablack pia? labda yeye ndo huyo mweupe tu, kwa hiyo hataweza kujibu kwa upande wa blackmaana sisi hatujabahatika kuvuka bara la afrika.sisi tupo na mablack tu.mwenzetu keshavuka bahari
Kwakua sijafanikiwa kuwa na dume la rangi nyeupe mie wangu ni mweusi
nasikia weusi wanajoto na weupe wamepooza katika majambozzzzzzz. nikweli?.
kama white ni binadamu watakuwa na joto tu lakini kama unazungumzia chura na reptiles hao ni wabaridi!
kwa hiyo shida yako ni joto tu basi? tumia heater