Nauza mapya, kuna Inch 6,8, 10 na 12nataka kitu kipya chenye guarantee kama unauza utakuwa umeshalichoka na limeshafanyiwa dhambi nyingi
Inchi 8 bei ganiNauza mapya, kuna Inch 6,8, 10 na 12
kwei kibishaNenda hospital ukapate ushauri wa kitaalam. Wana Jf hawakawii kukwambia ulalie gunia la misumari
kimpango huu ndiyo ushauri unaotakiwa kupewa tu. Aidha weka marineboard katika kitanda chako na kama unataka kuweka godoro weka la nusu inchi tuIla kwa aina yoyote ile tafuta orthopaedic matress
Nitafute nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Kama mjuavyo binadamu anatumia muda wa zaidi ya robo tatu ya maisha yake yote kulala, mimi binafsi nimekuwa nikilala kwa shida nikiamka maumivu ya mgongo, shingo na uchovu, stress nimeona shida ni godoro ninalolalia, nilinunua miaka minne iliyopita halina label though lina kava.
Naombeni ushauri nilalie godoro aina gani kutoka kiwanda gani ili nipunguze haya matatizo na maumivu, nitajie ukiwa na experience ya kulilalia nyumbani kwako, kwa jirani, hotelini au popote.