Nile nini kama mbadala wa ugali?

Nile nini kama mbadala wa ugali?

litutumbwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
642
Reaction score
1,303
Wazima vijana wenzangu kwa wazee? Kutokana naukweli kwamba wanga si mzuri natujitaidi kuupiga vita... binafsi nimeona kabisa naelekea pabaya,mpaka nishibe basi ni unga robo tatu wa dona na kilo moja wa sembe,na nyama choma kilo moja unusu

Imagine apo naconsume starch kiasi gani kwa mwezi... nataka niache ugali,naomba nifahamishwe upi ni mbadala waugali?ila usiwe wali tafadhali,wali nao ni wanga na nataka niachane nao.

Toweni ilmu kwafaida yawengi... asanteni sana
 
Ngano isiyokobolewa! Ila unatakiwa upunguze kiwango cha starch/carbohydrate na badala yake ule sana mboga za majani , nyama nyeupe iliyotolewa ngozi kama kuku , matunda kwa wingi na maji ya kutosha.

Pia jitahidi ufunge mchana kutwa pasi na kula utaona utakavyoupunguza mwili. Pia fanya mazoezi...tumbo litasinyaa gradually na utajishangaa ukila kiasi kidogo tu cha chakula unashiba
 
Funga/fasting inapunguza sana kiwango cha mafuta mwilini!! Jitahidi kama huwezi kufunga mchana kutwa basi uwe na intermittent fasting (kufunga kwa vipindi pasi na kula)..mfano unaweza kukaa masaa 6 bila ya kula!

Asubuhi ukiamka usile kitu mpk ikifika saa 6 mchana...na kama ulizoea kula kilo moja ya sembe/dona ...basi punguza ule nusu yake na nyama pia ule nusu...then baada ya hapo uje kula usiku saa 1 au saa 2...lala ..uje kula tena saa 6 mchana!! Baada ya mwezi tu utaanza kuona mabadiliko
 
Ngano isiyokobolewa! Ila unatakiwa upunguze kiwango cha starch/carbohydrate na badala yake ule sana mboga za majani , nyama nyeupe iliyotolewa ngozi kama kuku , matunda kwa wingi na maji ya kutosha.
Watu wasiokula chakula chenye wanga kwa wingi vitandani wako nyoronyoro kwenye mapenzi hawana nguvu kabisa

Wala ugali kwa wingi wa mahindi ,mtama,ngano nk wana nguvu hasa wawe wanawake au wanaume
 
Nani kakwambia?
Hukusoma kuhusu vyakula gani vya kutia nguvu mwilini? Ili mwili uwe na nguvu? Hizo nguvu hujui kuwa zunahitajika hadi kitandani kwenye mapenzi?

Utakula vimatunda tunda vyako na vimboga mboga harafu uende kitandani na mumeo au mkeo utakoma labda wote muwe huwa mnashindia hivyo vimatunda tunda na vimboga mboga vyako na vijuisi kama hujaachika wewe kama mwenzio ni.mls wanga kwa wingi

Usipoachika au mume au mke kutafuta michepuko usije piga miyowe kazi umeshindwa mwenyewe na kujitia uzungu ohh mimi nataka matunda na mboga mboga tu na ka juice nusu glass
 
Binafsi niliamua kuchagua magimbi. Mmeng'enyo wa magimbi tumboni huwa slow, hivyo kufanya blood glucose kupanda taratibu (hii ni nzuri kwa afya njema). Pia magimbi hufanya mtu kuhisi kushiba kwa muda mrefu. Hivyo magimbi kwangu ni m'badala wa ugali.



JESUS IS LORD
 
Wazima vijana wenzangu kwa wazee? Kutokana naukweli kwamba wanga si mzuri natujitaidi kuupiga vita... binafsi nimeona kabisa naelekea pabaya,mpaka nishibe basi ni unga robo tatu wa dona na kilo moja wa sembe,na nyama choma kilo moja unusu

Imagine apo naconsume starch kiasi gani kwa mwezi... nataka niache ugali,naomba nifahamishwe upi ni mbadala waugali?ila usiwe wali tafadhali,wali nao ni wanga na nataka niachane nao.

Toweni ilmu kwafaida yawengi... asanteni sana
Kula mihogo, magimbi, ndizi na wali
 
Kula mihogo, magimbi, ndizi na wali
Hiyo mikoa wala hivyo vyakula wanawake wanaongoza kwa michepuko

Kuwa wanaume wao hawawaridhishi

Vyakula hivyo vinaongoza kuzalisha wanaune wasio na nguvu kitandani mfano ni Kagera ,mikoa ya Pwani nk wanawake wengi wamejaa kila kona ya nchi kutafuta wanaume walio fit vitandani sio waka hivyo vyakula

Wala hivyo vyakula hawawaridhishi wanawake zao vitandani
 
Hiyo mikoa wala hivyo vyakula wanawake wanaongoza kwa michepuko

Kuwa wanaume wao hawawaridhishi

Vyakula hivyo vinaongoza kuzalisha wanaune wasio na nguvu kitandani mfano ni Kagera ,mikoa ya Pwani nk wanawake wengi wamejaa kila kona ya nchi kutafuta wanaume walio fit vitandani sio waka hivyo vyakula

Wala hivyo vyakula hawawaridhishi wanawake zao vitandani
Kwa hiyo wewe umejaza kichwani 'kumridhisha mwanamke' tu?
 
Kwa hiyo wewe umejaza kichwani 'kumridhisha mwanamke' tu?
Awe Mwanamke au mwanaume haolewi au kuoa kuuza sura kuoa au kuolewa na mwanaume au mwanamke kwani kwake alikuwa hali wakati mnaoana?

Kuolewa au kuoa sio kuuza sura na mapaja chumbani ni hadi kieleweke huko kitandani

Kama ni kula chakula kwao alikuwa anakula ndio maana ukamkuta yuko vizuri awe mke au mume

Alichofuata kwako ni kitandani sio sijui matunda sijui juice kwao katoka vilikuwepo vyakula vyote ikiwemo ugali nk anachohitaji kwako ni kuridhika kitandani sio porojo huwezi jiandae ataenda michepuko na usipige yowr akichepuka
 
Awe Mwanamke au mwanaume haolewi au kuoa kuuza sura kuoa au kuolewa na mwanaume au mwanamke kwani kwake alikuwa hali wakati mnaoana?

Kuolewa au kuoa sio kuuza sura na mapaja chumbani ni hadi kieleweke huko kitandani

Kama ni kula chakula kwao alikuwa anakula ndio maana ukamkuta yuko vizuri awe mke au mume

Alichofuata kwako ni kitandani sio sijui matunda sijui juice kwao katoka vilikuwepo vyakula vyote ikiwemo ugali nk anachohitaji kwako ni kuridhika kitandani sio porojo huwezi jiandae ataenda michepuko na usipige yowr akichepuka
Hahahaha Yehodaya
 
Back
Top Bottom