Sure!!! Hapa mkuu nmekuelewaa.Mchezo utakuwa hivi.
Step 1
Anaweza kweli akanunua hyo sarafu kwa milioni moja..then akakuambia umtafutie zingine tano au kumi kwa the same price..
At the same time atakua ameshakusoma..
Step 2
Wewe kwa upoyoyo wako utaingia mtaani kuzisaka kwa bei ya chini..atakutafutia mtu kwa siri na atataka kukuzia hzo sarafu kwa bei ya chini ili ukamuuzie huyo jamaa..yeye atakuuzia lets say laki tano ( 500,000* 5=2,500,000) hapo atakua ameshakupiga coz utakapozinunua hautampata tena wa kumuuzia..so atakua amerudisha ela yake na faida juu
.Deal done
Ukitaka kumuwezs ukishamuuzia kata mawasiliano naye..ukiendekeza tamaa utaliwaSure!!! Hapa mkuu nmekuelewaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukitaka kumuwezs ukishamuuzia kata mawasiliano naye..ukiendekeza tamaa utaliwa
Sarafu za Kenya zenye picha Simba mbili zikiwa zimesimama kwa miguu yanyuma ninazo aezinunua aseme bei nikilidhika atapata 0688787828
Mmmmmh unauhakika wa kutoa milioni mm ninayo hio sarafuNatafuta sarafu za shilingi moja-moja, za Nyerere za mwaka 1976, 1979, upande wa nyuma wa sarafu hizo,una mkono ulioshikilia mwenge.
Ntakupatia shilingi milioni moja hapo hapo.
Pia nina sarafu ya kijerumani ya silver makuti, za mwaka 1944-89
0716 7 66 640