Nilham rasheed

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,095


Umeumbika, Mungu amekujaalia

Nimekupenda saaana

Sina mengi wewe soma kati kati ya mistari kuwa nimekupenda.

Mungu akipenda Inshallah tutaonana kijijini


 
:clap2::clap2::clap2::laugh::laugh::laugh:
 
Dah Mohamedi Shoshi alitunga na shairi kabsaa cjui ajibiwa nini!
 
Huyu Nilham anawapigisha punyeto wanaume wengi sana hapa JF.

Nasubiri mwingine.

Hizi avatar mpaka zinaanzishiwa thread LOLZ!
 
Huyu Nilham anawapigisha punyeto wanaume wengi sana hapa JF.

Nasubiri mwingine.

Hizi avatar mpaka zinaanzishiwa thread LOLZ!

Nikilala naota wasi wasi wangu ataweza kweli kuja kijijini niliko?
 
Mh, labda wenzangu msha muona akiwa hana kilemba mi ningependa avue kilemba nione kama analipa kiivyo :coffee:
 
Huyu Nilham anawapigisha punyeto wanaume wengi sana hapa JF.

Nasubiri mwingine.

Hizi avatar mpaka zinaanzishiwa thread LOLZ!
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
jamani hii jamii forum hii ....yaani subhana llah nilipoona nilham rasheed.... nafsi yangu ikashtuka kama nimepatwa na kitu gani sijui,,, inshallah tupendane binaadam tumeumbwa kupendana abuy mi pia nakupenda wewe na woote wa humu jf...asakum lkheyr inshallah..
 
Unaendeleaje na khali bibie?
Naona nyota yako hapa JF yangaa sana.
 
Nyota ya Nilham naona inang'aaa kwelikweli...:israel:Kidogo Hashcool apigane na Shoshi....:argue:. Ameanza mwingine tena...!!!Kila heri Nilham!
 
alhamdulillah abuy illa kheyr nashkur.... inshallah iendelee kung'aa mpaka nikiiondoka jf..maana niko matatani tuu ,,,raha hakuna tena...
Unaendeleaje na khali bibie?
Naona nyota yako hapa JF yangaa sana.
 
Nyota ya Nilham naona inang'aaa kwelikweli...:israel:Kidogo Hashcool apigane na Shoshi....:argue:. Ameanza mwingine tena...!!!Kila heri Nilham!
Keren Sijui na mimi nikuanzishie thread :laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
alhamdulillah abuy illa kheyr nashkur.... inshallah iendelee kung'aa mpaka nikiiondoka jf..maana niko matatani tuu ,,,raha hakuna tena...

Nani anakufanya ukose raha tana jamani :sick:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…