Nilham......where ya at!

mpaka mupenzi arudi itaendelea mie pia nala cornner....

haya dear maana nilienda kukusanya data zote..
si wajua mie ndo Guardian Enjoy wake
hahaah lol
ilikuwa nimpe ngumu kwanza
halafu nitoe ushahidi wote..
ndo hapo na mie nikupigie goti nimsaidie kuuombea msamaha
hahahahahlol

TF yuko wapi na yeye maana angeona hii thread angefurahi sana
 

ooohh dear
kuna thread nimeiandaa
na huu wimbo ni upo humo..
this is my favorite song all the time lol
hahahahah lol

ntaubadilisha sasa lol:sick:
 
Naona wote we na Hashy ni wababaishaji/mnatuzingua wacha tuwapotezee tu.
 
mi nikuulize wewe habibty kuna siku alinilalamikia hapa akasema katiliwa chai ya tangawizi na afrodenzi lakini isije ikawa libwat....heheheheh nikaachia kicheko mpaka watu wakanishangaa... sasa imekuwaje tena hujui aliko mwenzangu au chai imemkaa kichwani bado haijesha alinambia ngoja nitazamie mpaka jioni nione matokeo... tangu siku hiyo sikumuona teeena... kulikoni kwani??
 

Tell him to forgive me for thinking ahead and on behalf of him.....sitaki kurudi nyuma kuzungumzia ukweli,kama huo ndo ukweli alosema Hashy kwako,basi na iwe salama.......

Trust me,am not stupid,we knew what we were doing,but it was a wrong move from the beginning,and i knew the end will hurt me the most but i respected my heart......its over now...please stop blaming me.....am human.....




 
Wakuu mnaonaje tukimpaa Hashy cheo cha No. 1 heartbreaker wa jukwaa hili ?

Anastahili kuwa Great Heartbreaker Man (GHM) ila anakaribia kuwa Senior GHM na baadae JF Expert GHM
lol
 
Anastahili kuwa Great Heartbreaker Man (GHM) ila anakaribia kuwa Senior GHM na baadae JF Expert GHM
lol

mie naona kasha pata PREMIUM HEART BREAKER (PHB) hahahah lol
 
Naona wote we na Hashy ni wababaishaji/mnatuzingua wacha tuwapotezee tu.

uporoto1, mi hashycool namjua vizuri sana, jamaa ni genius balaa kaona mbali na ameshazisoma akili za warembo wake.
Haachi permenent hata mrembo mmoja hapo, atakacho kifanya ni kama Rostama Aziza alivyoziweka kiganjani akili za wakuu wa inchi hii
Subiri muda upite uone next step ya huyu genius man, utakumbuka haya maneno yangu
 
mie naona kasha pata PREMIUM HEART BREAKER (PHB) hahahah lol

Hata hapo atapapita kabisa na kuwa JF Mod GHM

Anyway AD umenikosha sana mpenzi kwa kukumbuka avatar zangu nilizopata kutumia hapa JF, umenifanya nikufikirie mbali sana
 
Ikitokea hili itathibitisha wasiwasi wangu wa muda kuwa kuna watu humu wanatumia ID zaidi ya moja.
 
Ikitokea hili itathibitisha wasiwasi wangu wa muda kuwa kuna watu humu wanatumia ID zaidi ya moja.

Comrade uporoto1, mimi naweza kukutajia majina ya watu wa4 ambao ni CONFIRMED wana zaidi ya ID moja, sema basi tu it is prohibited to list pipos name here
 


kaka kulikoni?
 
kaka kulikoni?

mmmmhhhh ndo umeona tu yeye wa kumjibu??? salama lakini,mbona hivi tena??? si tungeagana tu jamani uende salama ndo nini kuja kunianika mtoto wa mwenzio huku.........:A S 20::A S 20::A S 20:
 
Hata hapo atapapita kabisa na kuwa JF Mod GHM

Anyway AD umenikosha sana mpenzi kwa kukumbuka avatar zangu nilizopata kutumia hapa JF, umenifanya nikufikirie mbali sana



  1. Ninja
  2. Mr.Ben kafunikwa uso na ****
  3. kichwa/vichwa
  4. miguu ya kutisha
  5. Ban kila mtu
  6. sasa naona umeniwekea cartoon ya hatari

hahahahaha lol sina uhakika na ya tatu my dear unisamehe bure..:A S 20:
eehh nausubiri zawadi zagu maana nakumbuka tangu siku ya kwanza nilipokupokea my dear hahahah lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…