mpaka mupenzi arudi itaendelea mie pia nala cornner....
Dedication to Hashycool.....
I will always love you.
If I should stay,
I would only be in your way.
So I'll go, but I know
I'll think of you ev'ry step of the way.
And I will always love you.
I will always love you.
You, my darling you. Hmm.
Bittersweet memories
that is all I'm taking with me.
So, goodbye. Please, don't cry.
We both know I'm not what you, you need.
And I will always love you.
I will always love you.
(Instrumental solo)
I hope life treats you kind
And I hope you have all you've dreamed of.
And I wish to you, joy and happiness.
But above all this, I wish you love.
And I will always love you.
I will always love you.
I will always love you.
I will always love you.
I will always love you.
I, I will always love you.
You, darling, I love you.
Ooh, I'll always, I'll always love you.
With love,Michelle
Naona wote we na Hashy ni wababaishaji/mnatuzingua wacha tuwapotezee tu.jamani naomba kumsemea kwa ajili ni one soul kwa sasa ... huwa sisamehi kitu mimi bila sababu muhimu.....nilivyoongea nae hashy na kumhoji kiundani zaidi kuhusu na michelle itakuwaje na ye keshanza nae....akanambia ye hakuanza nae na ndio maana kaja kuapolagize yeye alitumia kaama utani kwa michelle... alipokujashtuka michelle kashika kasi na mi ndio akawa keshanidondosha .... sasa hakuelewa kwakweli kulikuwa kwaendelea nini? sasa hiyo kusema mumpe jina la heart breaker si dhani kama itakuwa sahihi wallah ... :A S thumbs_down::A S thumbs_down:
haya dear maana nilienda kukusanya data zote..
si wajua mie ndo Guardian Enjoy wake
hahaah lol
ilikuwa nimpe ngumu kwanza
halafu nitoe ushahidi wote..
ndo hapo na mie nikupigie goti nimsaidie kuuombea msamaha
hahahahahlol
TF yuko wapi na yeye maana angeona hii thread angefurahi sana
Naona wote we na Hashy ni wababaishaji/mnatuzingua wacha tuwapotezee tu.
jamani naomba kumsemea kwa ajili ni one soul kwa sasa ... huwa sisamehi kitu mimi bila sababu muhimu.....nilivyoongea nae hashy na kumhoji kiundani zaidi kuhusu na michelle itakuwaje na ye keshanza nae....akanambia ye hakuanza nae na ndio maana kaja kuapolagize yeye alitumia kaama utani kwa michelle... alipokujashtuka michelle kashika kasi na mi ndio akawa keshanidondosha .... sasa hakuelewa kwakweli kulikuwa kwaendelea nini? sasa hiyo kusema mumpe jina la heart breaker si dhani kama itakuwa sahihi wallah ... :A S thumbs_down::A S thumbs_down:
uporoto we ni ndugu yake michelle??
Wakuu mnaonaje tukimpaa Hashy cheo cha No. 1 heartbreaker wa jukwaa hili ?
Anastahili kuwa Great Heartbreaker Man (GHM) ila anakaribia kuwa Senior GHM na baadae JF Expert GHM
lol
Naona wote we na Hashy ni wababaishaji/mnatuzingua wacha tuwapotezee tu.
mie naona kasha pata PREMIUM HEART BREAKER (PHB) hahahah lol
Ahahahahaaaaaaaah!!! JF bwana haiishi vituko.Acha nicheze kichwa mie na washikaji zangu hapa maana hili shairi mmmm
Ikitokea hili itathibitisha wasiwasi wangu wa muda kuwa kuna watu humu wanatumia ID zaidi ya moja.uporoto1, mi hashycool namjua vizuri sana, jamaa ni genius balaa kaona mbali na ameshazisoma akili za warembo wake.
Haachi permenent hata mrembo mmoja hapo, atakacho kifanya ni kama Rostama Aziza alivyoziweka kiganjani akili za wakuu wa inchi hii
Subiri muda upite uone next step ya huyu genius man, utakumbuka haya maneno yangu
Ikitokea hili itathibitisha wasiwasi wangu wa muda kuwa kuna watu humu wanatumia ID zaidi ya moja.
Kama chozi ni muhimu utahadaiwa masikini
Kuna watu kama kina kanumba hawalii moyoni
wakishapata watakacho wanakutosa sanii
Hashycool kastuka kuona Nilham namchombeza
Ameona zangu tungo tamu zenye kubembeleza
Akaja anzisha uzi akashindwa kujikaza
Akaamua kuandika kizungu kiswahili kukibeza
Hajuja bint Rashed lugha anaiendeleza
Ndio maana hakujibu kimya akanyamaza.
Ngoja nisiendelee maana kule kwenye magreat thinker nimekujibu mistari wewe na nilham mmeingia mitini nisije nikawafukuza hapa bure mpaka muanzisha mada akaingia mitini maana yeye yumo kwenye list kachungulia akatoka nduki!
Mpe habari kuwa umefichwa
Muumize moyo na kimuume kichwa
Mjuze upo bize na bwana kumliwaza
Hupati hata wasaa habari kutujuza
Hivi sasa ametoka ameenda kwenye baraza
Atakaporudi nyumbani..............................
Ngoja nikanywe chai naona kichwa kizito sasa
kaka kulikoni?
Hata hapo atapapita kabisa na kuwa JF Mod GHM
Anyway AD umenikosha sana mpenzi kwa kukumbuka avatar zangu nilizopata kutumia hapa JF, umenifanya nikufikirie mbali sana