Nilham......where ya at!

Moyo wangu unauma mimi ndie nilieanza kukuchombeza
Kikakupa tahadhari machozi si kupenda
Leo iweje uwe unamchombeza?
Sina tena hamu jamvi kuliendeleza
Naona tabu nataku kudekezwa
Sema watania msije kunipoteza :A S 20::A S 20:

shossi.....cheza...mbali!
 
Ngoja niwaleteeni Dua la Nguvu kuwaombea NILHAM na HASHYCOOL ktk mapenzi yenu
 
oooppps mohammed abuy mbona wataka haribu jamani???:A S 20::A S 20::A S 20:
Moyo wangu unauma mimi ndie nilieanza kukuchombeza :A S 20:
Kikakupa tahadhari machozi si kupenda
Leo iweje uwe unamchombeza?
Sina tena hamu jamvi kuliendeleza
Naona tabu nataku kudekezwa
Sema watania msije kunipoteza :A S 20::A S 20:
 
oooppps mohammed abuy mbona wataka haribu jamani???:A S 20::A S 20::A S 20:

Waja nishikeni nisije jinyonga
Maisha hayana bila Nilham hayatanoga
Hukumbuki tenzi nilizozitoga
Mbona huna ihsani umegeuka kinyonga?????????
 
jamaniiii??????? kwani tenzii zipi hizo yaani subhana llah........ au si mie labda...
Waja nishikeni nisije jinyonga
Maisha hayana bila Nilham hayatanoga
Hukumbuki tenzi nilizozitoga
Mbona huna ihsani umegeuka kinyonga?????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…