Niliacha chuo mwaka wa tatu, je naweza kupata hata cheti?

ARUSO

Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
95
Reaction score
94
Niliacha chuo kikuu mwaka wa tatu kozi yenye miaka minne.Je kuna uwezekano nikapata hata cheti kwa miaka hiyo mitatu?
 
Uliacha chuo kiaje mkuu fafanua hapo..
Ukifukuzwa?? Au uliacha tu kwenda bila taarifa yoyote?? Kma ni kwa sababu hizo sidhani kama utapata cheti chochote coz unahesabika sio mwanafunzi wao.

Ila kama uliandika barua ya kusimamisha masomo kwa muda flani labda unaweza kupata higher diploma kama mdau alivosema hapo.

Zaidi nenda ufatilie hapo chuoni kwenu. Sometimes vyuo huwa vinatofautiana sheria zake.
 
Soma sheria ya chuo chako inayo na academic regulations/progression. Lakini kwetu hapa Tanzania sidhani kama inawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…