Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
peleka maombi pale tamisemi /utumishi kama upo Dar au nenda Tamisemi Dodoma.... Haijalishi ulienda au hukwenda watakupangia.
Nilikuwa sina. Yaani sikufanya lolote kuhusu hiyo post kwani nilikuwa nimebanwa sana na mkataba. Vyeti na nyaraka nyingine zilikuwa kwa shirika.
Ila kama ulikuwa na check no, na nbado haijafutwa, hutapata mshahara kamwe....
Ila kama ulikuwa na check no, na nbado haijafutwa, hutapata mshahara kamwe....