peleka maombi pale tamisemi /utumishi kama upo Dar au nenda Tamisemi Dodoma.... Haijalishi ulienda au hukwenda watakupangia.
Nilikuwa sina. Yaani sikufanya lolote kuhusu hiyo post kwani nilikuwa nimebanwa sana na mkataba. Vyeti na nyaraka nyingine zilikuwa kwa shirika.
Ila kama ulikuwa na check no, na nbado haijafutwa, hutapata mshahara kamwe....
Ila kama ulikuwa na check no, na nbado haijafutwa, hutapata mshahara kamwe....