Erick msigwa1234
New Member
- Apr 12, 2022
- 4
- 1
Jamani mimi niliagiza mzigo kikuu nawanasema upo tayari Dar muda wowote utatumwa mkoani niliko. Ila naona kimya hadi saizi. Anaejua anielekeze nifafanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya kikuu ndo hiyo na kuwasiliana nao ni ngumu. Japo mizigo uwa inafika lakini kuna muda inachelewa sana.Jamani mimi niliagiza mzigo kikuu nawanasema upo tayari Dar muda wowote utatumwa mkoani niliko. Ila naona kimya hadi saizi. Anaejua anielekeze nifafanyaje
Ko naweza kupata mkuu maan nipo mkoani na sijuh aan coz ni mara ya kwnz kuagiza aanShida ya kikuu ndo hiyo na kuwasiliana nao ni ngumu. Japo mizigo uwa inafika lakini kuna muda inachelewa sana.
Ko naweza kupata mkuu maan nipo mkoani na sijuh aan coz ni mara ya kwnz kuagiza aan
Umejaribu kwenda ofisi zao hapo mkoani ulipo ukauliza ?Jamani mimi niliagiza mzigo kikuu nawanasema upo tayari Dar muda wowote utatumwa mkoani niliko. Ila naona kimya hadi saizi. Anaejua anielekeze nifafanyaje