Niliapa kulinda Katiba na Sheria,

Niliapa kulinda Katiba na Sheria,

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Mh. amesema kuna mambo yaliyo mahakamani ya TRA na capital gain tax, kusamehe kodi kwa Kilimanjarom cement, hatayaingilia maana ALIAPA KULINDA SHERIA NA KATIBA, hawezi kuvunja katiba na sheria.
Naomba mnaokumbuka mkumbusheni vifungu vya katiba na sheria alizovunja mpaka sasa! Mimi nimesahau.
 
Mh. amesema kuna mambo yaliyo mahakamani ya TRA na capital gain tax, kusamehe kodi kwa Kilimanjarom cement, hatayaingilia maana ALIAPA KULINDA SHERIA NA KATIBA, hawezi kuvunja katiba na sheria.
Naomba mnaokumbuka mkumbusheni vifungu vya katina na sheria alizovunja mpaka sasa! Mimi nimesahau.

Naona Jamaa yetu amelewa chakari hajielewi kabisa kwa sasa
 
anatia huruma sana wakati mwingine mambo anayofanya. Anania njema sana na taifa hili BUT hajui alisaidieje
 
Back
Top Bottom