Niliapa sintakuja piga mwanamke

Kwa hio Mkuu had upigwe ndo uendeleze story auuuu m nxha kaa standby hapa
 
Yaani hiii tabia ya kuandika stori nusu nusu inakera sana
 
Kumbe unaitika vizuri vizuri sana....safi sana...
utakuta mwingine anaitaka nanasema...nini hukoo,semaa,
it seems ur so so sweety girl...hahahaa
ikigijo...
Haha umeishia tu kunisifia nnavyoitika hujaniambia ulichoniitia
 
wa tz tuko na haraka ya kujudge kosa la mtu hata hatufaham viini vya tatzo
hongera kwa maamuzi ulochukua
 
Haha umeishia tu kunisifia nnavyoitika hujaniambia ulichoniitia
Nlikuwa sijisikii vizuri kuna Mtu alinikwaza na kuharibu siku yangu so nikaona ngoja nimuite
Khantwe
na kama ukiitika vizuri nitapona....na kweli nimepata Psychological relief baada ya kuona neno "Abee" kumbe hili neno linaweza kumtoa relief Mtu daaa...nilitaka niendelee kusema nikagundua kumbe haupo karibu uko hukooooo....πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…