Nilicho kiona Leo Church

Ambiele Mungu anakuona....Yeye amevaa nguo wewe umeona maneno.Hiyo ni nguo kama nyinginezo ....mkuu tunatofautiana sana
 
Mungu wa Israel anaangalia moyo .
Huyo nanii ndo anataka kutawadha na kuwa msafi mwili badala ya roho.

Bwana Yesu asifiwe sana
 
Sasa wewe na yeye wakumshangaa ni nani !??mzee kakonsentrate anamuomba mungu wake wewe uko bussy na ki simu chako...!?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] vijana hizi nguo mnazowapelekea wazee wenu muwape na maelezo.
Mzee katinga T Shirt yenye maandishi ya night club kanisani hana habari.
Sio kosa lake lakini.
Hafu Watu wanasema ilo swala La kawaida
 
Mbona iko poa tu.

Nini tatizo la hayo maandishi?

Ni matusi?
 
TRIPLE 'A' night club ...ipo chuga hiyo .

Jamani ni kawaida tu ndo maisha yalivyo. huwezi jua labda ndo mtoko wa sikukuu kwa mwenzako...kumbuka hata vidole vyako vya mkono havilingani....

"Ganda la muwa la jana - Chungu kaona..."

Imefadhiliwa na kijukuu cha hitler Adolph hitler jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…