Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 361
Nilicho elewa ndege zetu Gharama yake ni Trilion 1.28 tu
Ukiigawanya hiyo pesa kwa Watanzania milioni 60
Trillion 1.28 ÷ milioni 60
1,280,000,000,000 ÷ 60,000,000 = 21333
Kila mtanzania atapata elfu 21.
Sasa kazi kwenu mziuze ndege zetu au mtafute bodi ya wakurugenzi yenye wataalamu wa mambo ya usafiri wa anga ili washauriane jinsi ya kuendesha kampuni ili ipate faida?
Ama mrekibishe hiyo sheria ya kuwakodishia ndege ATCL hata kupindi cha majanga ambayo ndege haziruhusiwi kuruka?
Ama mrekebishe viwanja vya ndege ili viruhusu ndege kutua mchana na usiku pamoja na kutua zikiwa zimepakia abiria siti zote.
Sasa maamuzi yamo kwenu, ila hiyo Trilioni 1.28 hata mishahara ya miezi miwili tu sina hakika kama itaweza kulipa.
Ushauri wangu.
Serikali mkishindwa kufanya hiyo biashara mtakua mmeonyesha uzaifu mkubwa. Hapo kinachotakiwa hiyo biashara endeleeni kuifanya, fuateni ushauri mliopewa na CAG, msifuate ushauri wa wabunge wala watu wa mitandaoni.
Ukiigawanya hiyo pesa kwa Watanzania milioni 60
Trillion 1.28 ÷ milioni 60
1,280,000,000,000 ÷ 60,000,000 = 21333
Kila mtanzania atapata elfu 21.
Sasa kazi kwenu mziuze ndege zetu au mtafute bodi ya wakurugenzi yenye wataalamu wa mambo ya usafiri wa anga ili washauriane jinsi ya kuendesha kampuni ili ipate faida?
Ama mrekibishe hiyo sheria ya kuwakodishia ndege ATCL hata kupindi cha majanga ambayo ndege haziruhusiwi kuruka?
Ama mrekebishe viwanja vya ndege ili viruhusu ndege kutua mchana na usiku pamoja na kutua zikiwa zimepakia abiria siti zote.
Sasa maamuzi yamo kwenu, ila hiyo Trilioni 1.28 hata mishahara ya miezi miwili tu sina hakika kama itaweza kulipa.
Ushauri wangu.
Serikali mkishindwa kufanya hiyo biashara mtakua mmeonyesha uzaifu mkubwa. Hapo kinachotakiwa hiyo biashara endeleeni kuifanya, fuateni ushauri mliopewa na CAG, msifuate ushauri wa wabunge wala watu wa mitandaoni.