Nilichogudua kuhusu Manara

Nilichogudua kuhusu Manara

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Huyu jamaa nimekuja kugundua ni mtu flani wa husda sana,ana chuki na wivu flan hiv wa chini chini anao uficha kwa mgongo wa utani wa utani wa jasi but kiuhalisia hamaanishi hivyo...kwa mfano katika post zake tano kwa siku basi 2 zitaihusu Yanga halafu watu wa Yanga hawanaga time naye wanamkaushia tu.
Angalia hii post halaf chukua muda wako kutafakari alichokiandika then unaweza kukubaliana nami pasi na shaka...
Screenshot_20180418-224836.png
 
Zaidi ya wivu na husda Haji ni miongoni mwa maafisa habari wa ovyo sana! Hana tofauti na shabiki oya oya wa huku Kwamtogole! Ni sawa na wale wacheza vigodoro!
 
Ipo hivi
Young Africans Wakienda makundi wanavuta pesa kama ifuatavyo

CAF mil 850
Sport pesa mil 400
Macron mil 53

Jumla Bil 1.3
Usajili wa yanga ni mil 250

Simba wakichukua Ubingwa wanachukua mil 80

Usajili wa Simba bil 1.3

Kupitia Takwimu hizo unajua Chizi ni nani hapo
 
Ipo hivi
Young Africans Wakienda makundi wanavuta pesa kama ifuatavyo

CAF mil 850
Sport pesa mil 400
Macron mil 53

Jumla Bil 1.3
Usajili wa yanga ni mil 250

Simba wakichukua Ubingwa wanachukua mil 80

Usajili wa Simba bil 1.3

Kupitia Takwimu hizo unajua Chizi ni nani hapo
ha haaaaa............uchizi wa kiwango cha lami.
 
Back
Top Bottom