Kuna wenzenu wanawasaliti 😁😁Tulishakubaliana humu wanaume hatuoi
Umeongea ukweli...ukishaziea maisha ya usingle bwana kukaa na mtuu unaona kero tuu.Mambo? Unachelewa kuoa au kuolewa ndivyo utavyopata matokeo hasi ukishapata ndoa.
1.utaanza kuhisi kilakitu afanyacho mkeo/mmeo anakosea sababu ulishazoea tuvisheria twako.
2.kubughuziwa(to feel uncomfortable)....kuanzia kulala wawili kitandani na kushea anything(uchoyo unaanza hapa)
3.kutamani kuishi pekeyako Tena,kutaman mwenzio asafiri,akienda kazini achelewe kurudi au alale hukohuko🤣,akirudi apitilize kulala ataoga asubuhi😆.
4.Ongezeeni nilivyosahau(kuweni wakweli)
NB:Oaneni mapema kabla akili na mwili havijajizoea kuishi vyenyewe ili msipigane risasi(ndoa ni urafiki)
Ngoja wakipate wanachokitafutaKuna wenzenu wanawasaliti 😁😁
Sema mso na akili ndio mlikubaliana hivyo ambapo ni boonge la uamuzi japo pia kuna wenzenu wanawasaliti. Ila wanaume wenye akili wanaoa vizuri tu.Tulishakubaliana humu wanaume hatuoi
Always upo muwazi.Na ndiyo ukweliUmeongea ukweli...ukishaziea maisha ya usingle bwana kukaa na mtuu unaona kero tuu.
Ila pia kadri unavyochelewa koa/kuolewa ndivyo unavyo onja asali tofauti so unajikuta huwezi tulia na asali moja unataka kubadilisha ladha tuu.
Ndio ukweli wenyewe tutaruka wee lakini ukwei ni kwamba ndoa haziwezi kudumu maana tunao oana ni used goods. Huyu anamkumbuka john mwengine anamkumbuka latifaAlways upo muwazi.Na ndiyo ukweli
Yakiwakuta basi lakin wanaoa.Ngoja wakipate wanachokitafuta
Ukute anaandika hivyo huku anasumbua watu na sms za mchango[emoji23][emoji23]Hata usisumbuke nao,wataoa tu ....time will tell
Kwa hiyo tukubaliane kuwa wanaume wasiooa hawana akili na wanawake wasiolewa nao hawana akiliSema mso na akili ndio mlikubaliana hivyo ambapo ni boonge la uamuzi japo pia kuna wenzenu wanawasaliti. Ila wanaume wenye akili wanaoa vizuri tu.
Kweli kabisa tamaaa ya ngono tumeiendekeza mno. Yaani sasa kila sehemu ni kulana mbususu mara kulana tigo. Basi ni shida tupu. Ukigeuka huku huyu ana tako yule ana tako basi balaaaaTamaa tumeweka mbele kuliko ustahimilivu
Yaan ukishakubali kuolewa au kuoa ujana weka pembeni Kaa kifamilia na kimajukumu.Alichemka...ndoa na misele wapi na wapiMtoa mada huu ni ukweli kabisaaaa, ukishazoea kujisimamia mambo ya kupangiwa pangiwa yanakera. Ndio yale ya bibie anataka akaangalie mpira mwenzie anataka abaki nyumbani apike. Mgongano unaanzia hapo.
Ndoa ni kujikana haswa.
Mnataka wanaume tufee eeh...loh rohoo mbaya tuuYakiwakuta basi lakin wanaoa.
Duniani wawili wawili mkishindwana basKwa hiyo tukubaliane kuwa wanaume wasiooa hawana akili na wanawake wasiolewa nao hawana akili
🤣🤣🤣🤣Uko very addicted na takoKweli kabisa tamaaa ya ngono tumeiendekeza mno. Yaani sasa kila sehemu ni kulana mbususu mara kulana tigo. Basi ni shida tupu. Ukigeuka huku huyu ana tako yule ana tako basi balaaaa