Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari nilikuwa nimesha jiandaa kukuja PM ili nawewe ufunge safari from Bukoba yako to Dodoma...teh[emoji23]
 
ndio mana nimesema kwako linanishinda jambo 1 tu (uwoya vs janjaro)

haya sasa uko mbali unantisha,nikiwa around si tayari naugulia maumivu?

Next week naanza Gym nijae jae kdg niweze kukumudu ili ukisema fyeeee (nakupa banzi hiloo)
Hehehehe

Usinitishe..na gym yako lakini mabanzi yapo palepale..[emoji1787][emoji1787]
 
Nawaweka kwenye group wanaume vitombi wa jf mkutane hukoo
wengine mna wake zenu na watoto kutwa kukuruka mkiukwaa muanze kuwasumbua loyal wives.tsk
 
Paul wa DSM unamaanisha RC? Yule sio Paul na hana hata damu ya Paul inayozunguka kwenye mishipa yake.
Paul anko wangu anamakubwa sana,chotara la kikamba na kichaga levi kama limerogwa.linajua kila kitu,bishi kama dagaa za kigoma.
 
Msinitenge ni living proof.Hakuna utani mule.
 
Mm nna Kaka angu Anaitwa Paul hana hbr kusaidia home yy yupo bize na mke wake tu
 
Sasa mtu anajijua ashaathirika ana risk nini tena? Hapo wewe ndio ulirisk maisha yako(kama uko safe lakini)
 
Duh jf nikiboko mnanyaduana kimyakimya.... Mkiwa mna coment maushauri mgeni wajf anaweza kuwaona wamaana sanaa nawengine wanajidai eti kukufata pm ili wakushauri private mamaee
 
Mpaka Sasa kutokea mwaka jana 2018 umeshatembea nawanaume wajf kwawastani 1.5.
 
Hahaha, siku ile ilikuwa bahati mbaya, na nilivyorudi nazo hukuwepo tena hotelini hahaha
 
Hongera kwa kutoa jibu linaonesha busara na maadili ya mawasiliano.
 
Nipoooo

Hahahaahahah vipi mbona umefurahi????
 
Kwa uzoefu nilionao, sijawahi kukutana na dem mzuri humu jf.. wote wabovu..

Ila sijawala[emoji52].. maana they weren't attracting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…