Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
hahaha met morning!! huna ushuhuda wowote weweMambo yameshakuwa mengi
Ukiwa nazo kwenye mkoba wanaweza wakafikiri wew ni sex worker
Haha shuhuda zangu nyingi zinahitaji siredi ya peke yake. Kwema huko?hahaha met morning!! huna ushuhuda wowote wewe
Hatari sanaaaaaaaMambo yameshakuwa mengi
Siyo kazi yangu ili mpenz aridhike kuwa na mimi
Beba hata paketi 10 kulinda afya yakoUkiwa nazo kwenye mkoba wanaweza wakafikiri wew ni sex worker.
Kwanini wewe huzinunui kama kweli unajipenda, ukaziweka kwenye mkoba wako?
Wako kwenye National Museum
[emoji16][emoji16] we jamaaKaka! Yaani Dada mmoja katembea na washkaji kibao! Huko PM huko dah
Labda tumuombee
Ila dodoma inawezekana kuna wana JF wengi sana waathirika.Mkuu, ebu ngoja kwanza wanaume tunao ishi Dodoma tupige kura ili kabla ya kuchangia tujuwe aliye kunyandua...