Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Sasa wewe ni sex worker? Kila anayeomba anakubaliwa kwa sharti dogo la kutumia condom!!!!!!
 
samahani dada angu hivi mpaka sasa unajaza osaka ngapi abiria wako
 
Unafanya kazi gani???... Bila Shaka huna kazi ya kufanya....
Hao wanaume wote wa nini??....
Bila Shaka kwa ajili ya pesa.....
Kwanini usafiri umbali mrefu sababu ya mwanaume hapo unapoishi hakuna wanaume???..
Bila Shaka kwa ajili ya pesa na tamaa za maisha mazuri...
Umejuaje wanaume wengi wa jf hawapendi unprotected sex???
Ina maana umetok nao wengi sana......na sababu ni pesa tu
.................
Kama tatizo sio pesa kwanini uhangaike na wanaume wa jf tena wengi.....................
........nikikwambia unajiuza utakataaa???....
.....hebu acha tamaa za maisha mazur ya shortcut.....tafta kazi ufanye usitumie mwili wako kama bidhaa au utaendelea kutumika na kutupwa huku ukileta ushuhuda public na watu wanakuchora tu huku wengine wakikununua....mpaka unazeeka............
 
Tofauti ya huyu dada na hao akina dada wengine humu jf ni kuwa;
Yeye kathubutu kusema hadharani kuhusu wanaume aliotembea nao JF, ila naamini kuna wanawake humu ni balaa kuliko huyu learner kabisa...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah thread hii sikuionaga ilipotolewa jikoni.

Ningelikutana na wewe ningelikufurahisha.

Mwanaume unakimbia mwanamke kwa uoga wa kupima 'ngoma'!

Ama hii ni hadithi?

Yaani nilale mzungu wa4 nikiwa na mwanamke 'mpya' eti kisa kupima!
Tungelipimia kwenye gari hata kabla hatujajisunda 'gesti' kukukunja.

Tena huyo jamaa uliye mridhia kukaa naye wiki kwa sharti la kupima kisha 'akalaza' ninadhani hayuko sawa kisaikolojia ama ni mwathirika halisi wa vvu.

Hakuna mwanaume asiyependa nyama kwa nyama, hata ajifanye kuhamasisha uvaaji condom, elewa kuwa huyo ni adui anayetangaza amani huku kaficha panga, ni muongo!

Me mwenyewe nikivaa ndom 'haisomi' na ndiyo maana nimevijaza tele vipimo vya ukumwi, vitendanishi pamoja na sindano zake za kutogea vidole chini ya siti ya gari.

Nikikumbana na mitihani simple kama hiyo, moja kwa moja ninaibuka kidedea, maana yake ninapass kwa alama za juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakua na nembe LA hatar,,full katerero Nara mahi waaaaaaaa
Nani kakwambia kondom zinazuia ukimwi? Watu wanakuja na test pack wanakupima ngwengwe halafu wanapaka ky mwanaume unateleza tu kokote. Na we kushinda na wanaume wa mitandao kwani huko bukoba hamna wanaume?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh kweli ww ni cutelove .? Taratibu bado Damu ni mbichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…