Huyu Jamaa ilikuwa ni lazima arudi kwenye music, kama nakumbuka ni kwamba huyu Mwamba(Mzee Yusuf) ana kesi ya madai mahakama ya wilaya ilala na mpaka sasa kesi inaendelea na anadaiwa pesa alizokopo kwa watu.Watu wanasema usipende kusema jambo usilolijua.
Kuna sehemu huwa ni wakali ukifika kwenye imani zao kupitia dini tulizo nazo kila mmoja.
Watu wengi kupitia imani wanapenda kusabisha wenzao kuwa mifano na mapito kupitia imani. !!
Siku moja kupitia kipindi cha redio fulani hivi Mzee Yusuf kutaka kurudi kwenye gemu baada kuona kinachoelekea hapa mwenyewe ndio hana siri tena kwa yale aliyosema kutoa moyoni kumbe kuna watu kiufupi wanatumia kama njia mfano tu.
• Mfano mtu kakushauri: (wazo lako katika imani) "yule dini yangu na mcha mungu"
note: changanya nazako [emoji849].
• Umedhulumika: (imani kupitia wenzako) "yule dini yako kwa mungu hata jibu nini"
• Mtu hana kufanyia ubaya:
View attachment 1467033
(imani kupitia wenzako wanasema mungu kakuandikia majaribu)
kuna mengi hata yeye kinyongo kinamtoka ila dunia ndio duara kwa wanzungu wapo mwezini na kwenda sayari ya mbali.
Wadau hili nalo neno
Kwa ulimwengu wa leo..pana taka moyo sana na kujipanga... ..bila hivyo ndio hayo... ... kuna mwengine znz aliacha akiwa anaadhini kabisa msikitini..lakini ndio hivyo..hakuwa na sapoter wala kipato..nje ya kuimba..mwisho akarejea tena ...jukwaani!Huyu Jamaa ilikuwa ni lazima arudi kwenye music, kama nakumbuka ni kwamba huyu Mwamba(Mzee Yusuf) ana kesi ya madai mahakama ya wilaya ilala na mpaka sasa kesi inaendelea na anadaiwa pesa alizokopo kwa watu.
Karopoka nini tena..!? Ebu tuelezee maana mtoa mada kakotokochoa mpaka wengi hatujaelewaUropokaji wa mzee yusuf dhid ya mashekh na uislam angeufanya mtu wa dini nyingine wangeandamana hadi kwa mkuu wa nchi
Mzee Yusuph nadhani hakujipanga.Kwa ulimwengu wa leo..pana taka moyo sana na kujipanga... ..bila hivyo ndio hayo... ... kuna mwengine znz aliacha akiwa anaadhini kabisa msikitini..lakini ndio hivyo..hakuwa na sapoter wala kipato..nje ya kuimba..mwisho akarejea tena ...jukwaani!
Hata urudie kusoma mara 9 haelewek.Mkuu mimi ni kilaza au umeandika lugha ya kwako mwenyewe? Mbona sielewi kabisa.
Mkuu unawaza kwa sauti kubwa sana. Ndii maana hatuelewi unamaanisha nini.Watu wanasema usipende kusema jambo usilolijua.
Kuna sehemu huwa ni wakali ukifika kwenye imani zao kupitia dini tulizo nazo kila mmoja.
Watu wengi kupitia imani wanapenda kusabisha wenzao kuwa mifano na mapito kupitia imani. !!
Siku moja kupitia kipindi cha redio fulani hivi Mzee Yusuf kutaka kurudi kwenye gemu baada kuona kinachoelekea hapa mwenyewe ndio hana siri tena kwa yale aliyosema kutoa moyoni kumbe kuna watu kiufupi wanatumia kama njia mfano tu.
• Mfano mtu kakushauri: (wazo lako katika imani) "yule dini yangu na mcha mungu"
note: changanya nazako [emoji849].
• Umedhulumika: (imani kupitia wenzako) "yule dini yako kwa mungu hata jibu nini"
• Mtu hana kufanyia ubaya:
View attachment 1467033
(imani kupitia wenzako wanasema mungu kakuandikia majaribu)
kuna mengi hata yeye kinyongo kinamtoka ila dunia ndio duara kwa wanzungu wapo mwezini na kwenda sayari ya mbali.
Wadau hili nalo neno
Nilidhani mimi nimekuwa kiladha. Kumbe ni mleta uzi. Aisee!Mkuu mimi ni kilaza au umeandika lugha ya kwako mwenyewe? Mbona sielewi kabisa.