Nilichojifunza kutoka kwa Mzee Yusuf

Dah! Masta we noma.. nimetoka kapa!
 
Kuna Mwalimu wangu alikua anasema "If you cannot convince them, confuse them" mleta uzi hakika umefanikiwa katika hili.
 
kama mmeshawahi kukutana na wapemba tokea visiwani hamuwezi mshangaa huyu jamaa.

mnaweza piga story ukatoka na kiu.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
kama mmeshawahi kukutana na wapemba tokea visiwani hamuwezi mshangaa huyu jamaa.

mnaweza piga story ukatoka na kiu.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Hii hali mwanzoni ilinipa tabu kweli kuna muda nikawa nawaitikia tu..... Ila baada ya kukaa nao kwa muda taratibu nikaanza kuwaelewa (kufahamu kama wanavyosema wenyewe )
 
Aliyeelewa anieleweshe puliiiiiiiiiiz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…