Nilichojifunza kwa wadada wa JF

[emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu bhana unataka kuleta uchochezi aysee.nimefurahishwa na comment mkuu
Huna cha kuhofia mkuu, kwanza sky eclat ni muelewa na yuko friendly sana hivyo kufurahi pamoja sio mbaya, mm mwenyewe hapa ndio kwanza natafuta marafiki wa jamii forums, just be social, friendly etc
 
Huna cha kuhofia mkuu, kwanza sky eclat ni muelewa na yuko friendly sana hivyo kufurahi pamoja sio mbaya, mm mwenyewe hapa ndio kwanza natafuta marafiki wa jamii forums, just be social, friendly etc
Aminia mkuu.kweli kwa comment ile nimemfikiria kama mtu mwenye akili nyingi sana na social pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…