Nilichojifunza, mitandao ndiyo iliyobeba Watanzania wenye uelewa wa mambo. Huko vijijini na watu wa chini ni rahisi kuwahadaa kwa vitu vidogo

Nilichojifunza, mitandao ndiyo iliyobeba Watanzania wenye uelewa wa mambo. Huko vijijini na watu wa chini ni rahisi kuwahadaa kwa vitu vidogo

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Na hiyo ndiyo mbinu aliyo kuwa akiitumia Magufuli.

Alitumia sana Watanzania wa chini na wenye uelewa mdogo kujipatia umaarufu huku maswala ya kitaalamu yakienda kombo.

Aliwadanganya sana kwa mengi na walimuamini sana kama Kinjeketile Ngwale wao na walidanganyika kwa sababu walio wengi hawakuwa na sehemu nyingine ya kupata habari sahihi zaidi ya kumtegemea yeye na yeye alitumia mwanya huo kuwadanganya na kuwarubuni.

Aliwarubuni kwa vitu vidogo vidogo sana na maneno mazuri mazuri na wakarubunika tena kirahisi na kuona huyu ndiye.

Watu wa mitandaoni walio wengi wanapata habari kutoka sehemu mbalimbali waliujua ukweli wa mambo hawakuwa tayari kudanganywa wala kurubuniwa na ndio maaana yakaletwa hayo ya vifurushi kupandishwa ili kupunguza watu mitandaoni maana hao wana sehemu nyingi za kupata habari tena nza uhakika.
 
Ndio maana elimu inadunishwa ili kutengeneza idadi kubwa ya watu watakaokabidhi fikra (zinazopaswa kuwa huru) kwa viongozi wa CCM.

Fikra huru ziko kwenye uhuru wa kuzitoa. Kwa kuzuia shughuli za siasa, kudhibiti utoaji wa habari na hata kubana njia za kutolea habari - ni mambo yaliyofanya wanyonge kukabidhi uhuru wa fikra zao. Waliokataa kukabidhi uhuru huo wako mitandaoni - na ndio wanaofanya mambo mengi yabadilishwe!! Wanyonge hawana nafasi tena!!
 
Mkuu sikutegemea haya kutoka kwako. watu smart wote hawahitaji smart phone kwa hiyo kama wewe ni teja wa smart phone wala hu miongoni mwa watu wenye uelewa.
 
Magufuli aliminya uhuru wa vyombo vya habari vilivyokosoa hoja zake. Wanyonge walisikia matamshi ya mfalme wao na waliyameza bila kutafuna.

Sijui kilichotulemaza ni itikadi za kijamaa lakini bado tuko usingizini.
 
Magufuli aliminya uhuru wa vyombo vya habari vilivyokosoa hoja zake. Wanyonge walisikia matamshi ya mfalme wao na waliyameza bila kutafuna.

Sijui kilichotulemaza ni itikadi za kijamaa lakini bado tuko usingizini.
Hili la itikadi za kijamaa ni tatizo kubwa. Miongoni mwetu. Unakuta hata haho waliosoma kidogo hawana uelewa wa mambo madogo kabisa . Ati mtu anasema mm sifuatilii siasa ndo mana
 
Na hiyo ndiyo mbinu aliyo kuwa akiitumia Magufuli.

Alitumia sana Watanzania wa chini na wenye uelewa mdogo kujipatia umaarufu huku maswala ya kitaalamu yakienda kombo.

Aliwadanganya sana kwa mengi na walimuamini sana kama Kinjeketile Ngwale wao na walidanganyika kwa sababu walio wengi hawakuwa na sehemu nyingine ya kupata habari sahihi zaidi ya kumtegemea yeye na yeye alitumia mwanya huo kuwadanganya na kuwarubuni.

Aliwarubuni kwa vitu vidogo vidogo sana na maneno mazuri mazuri na wakarubunika tena kirahisi na kuona huyu ndiye.

Watu wa mitandaoni walio wengi wanapata habari kutoka sehemu mbalimbali waliujua ukweli wa mambo hawakuwa tayari kudanganywa wala kurubuniwa na ndio maaana yakaletwa hayo ya vifurushi kupandishwa ili kupunguza watu mitandaoni maana hao wana sehemu nyingi za kupata habari tena nza uhakika.
Sasa huyu Edo Kumwembe na Chadema walitaka wana ccm wamchukie rais anayetokana na ccm?

Au anafikiri Rais Samia anatekeleza ilani ya Chadema?

Hii jamhuri ya twita inasikitisha sana
 
Mkuu sikutegemea haya kutoka kwako. watu smart wote hawahitaji smart phone kwa hiyo kama wewe ni teja wa smart phone wala hu miongoni mwa watu wenye uelewa.
Kuna tofauti kati ya mtu muelewa na mtu "smart".
Muelewa anachagizwa na mazingira lakini "smart" anazaliwa nao.
 
Na hiyo ndiyo mbinu aliyo kuwa akiitumia Magufuli.

Alitumia sana Watanzania wa chini na wenye uelewa mdogo kujipatia umaarufu huku maswala ya kitaalamu yakienda kombo.

Aliwadanganya sana kwa mengi na walimuamini sana kama Kinjeketile Ngwale wao na walidanganyika kwa sababu walio wengi hawakuwa na sehemu nyingine ya kupata habari sahihi zaidi ya kumtegemea yeye na yeye alitumia mwanya huo kuwadanganya na kuwarubuni.

Aliwarubuni kwa vitu vidogo vidogo sana na maneno mazuri mazuri na wakarubunika tena kirahisi na kuona huyu ndiye.

Watu wa mitandaoni walio wengi wanapata habari kutoka sehemu mbalimbali waliujua ukweli wa mambo hawakuwa tayari kudanganywa wala kurubuniwa na ndio maaana yakaletwa hayo ya vifurushi kupandishwa ili kupunguza watu mitandaoni maana hao wana sehemu nyingi za kupata habari tena nza uhakika.
Ndiyo mbinu za CCM hizo
 
Back
Top Bottom