Nilichojifunza, Nchi hata ikiwa saizi ya Hekari moja, kama Ikiungwa mkono na Mabeberu huwezi kuishinda hadi mabeberu hao waamue

Nilichojifunza, Nchi hata ikiwa saizi ya Hekari moja, kama Ikiungwa mkono na Mabeberu huwezi kuishinda hadi mabeberu hao waamue

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mabeberu US na wenzake hakuna taifa ambalo litafanya mipango au miakakati isijue. Wataiuzia taarifa hizo.

Mabeberu wana silaha ambazo wakiipa nchi ndogo saizi ya hekari moja, Silaha moja tu ikitumiwa lazima uipigie magoti nchi hiyo ndogo.

Wanaweza kuipa nchi ndogo taarifa za kiintelijensia wakafanya shambulio moja tu na mkubwa akakaa chini.

Labda ndio maana PK anampiga mkwara Ramaphosa.

Labda ndio maana PK anasema kuhusu Askari wa kukodi (mercenaries) yeye anauwezo uliopitiliza wa kuwapoteza ( overstocked)

Nimemsikia mwandishi mmoja anasema jamaa anakikundi cha crossboarder assassin ambao wanaweza kufika popote duniani kwa msaada wa marafiki zake.

Nimemsikia Msouth afrika mmoja anasema wanajeshi wao wameuliwa na Silaha kutoka Israel.

Nikamkumbuka Bwana Yesu qliposema "Kabla hujaingia vitani hesabu gharama kwanza", Ili kama humuwezi tengeneza amani mapema kabla ya hasara.

Wale jamaa M23 waliposema kupitia yule babi mwenye mandevu meupe kuwa wanaelekea Kinshasa kama, Waasi hao wanasapotiwa na PK na Marekani wanauweza wa kufika popote wanapotaka katika eneo la maziwa makuu.

Mwenye uwezo wa kumaliza vita hivyo sio PK, SADC au EA ni mbabe Donald Trump kama US walipoamua kumaliza Vita ya Angola 🇦🇴 kwa siku moja tu na Savimbi akarestishwa in peace.

Hii itawezekana kama maslahi ya wamagharibi mashariki ya Congo yatakuwa yamekamilika.

Binafsi huwa naomba Mungu aingilie kati tu maana vita vya maslahi vinaweza hata kufuta mamilioni ya watu ili wachache wanufaike.

Ni hayo tu, bado tunamengi ya kujifunza hapo mashariki pa qfrika mashariki.
 
Mabeberu wamepigana vita tangu enzi enzi mbinu zote za kushinda wanazijua na technology wanayo plus pesa lazima washinde
 
Mabeberu US na wenzake hakuna taifa ambalo litafanya mipango au miakakati isijue. Wataiuzia taarifa hizo.

Maneneru wanasilaha ambazo wakiipa nchi ndogo saizi ya hekari moja, Silaha moja tu ikitumiwa lazima uipigie magoti nchi hiyo ndogo.

Wanawdza kuiizia nchi ndogo taarifa za kiintelijensia wakafanya shambulio moja tu na mkubwa akakaa chini.

Labda ndio maana PK anampiga mkwara Ramaphosa.

Labda ndio maana PK anasema kuhusu Askari wa kukodi (mercenaries) yeye anauwezo uliopitiliza wa kuwapoteza ( overstocked)

Nimemsikia mwandishi mmoja anasema jamaa anakikundi cha crossboarder assassin ambao wanaweza kufika popote duinani kwa msaada wa marafiki zake.

Nimemsikia Msouth afrika mmoja anasema wanajeshi wao wameuliwa na Silaha kutoka Israel.

Nikamkumbuka Bwana Yesu qliposema "Kabla hujaingia vitani hesabu gharama kwanza", Ili kama humuwezi tengeneza amani mapema kabla ya hasara.

Wale jamaa M23 waliposema kupitia yule babi mwenye mandevu meupe kuwa wanaelekea Kinshasa kama, Waasi hao wanasapotiwa na PK na Marekani wanauweza wa kufika popote wanapotaka katika eneo la maziwa makuu.

Mwenye uwezo wa kumaliza vita hivyo sio PK, SADC au EA ni mbabe Donald Trump kama US walipoamua kumaliza Vita ya Angola 🇦🇴 kwa siku moja tu na Savimbi akarestishwa in peace.

Hii itawezekana kama maslahi ya wamagharibi mashariki ya Congo yatakuwa yamekamilika.

Binafsi huwa naomba Mungu aingilie kati tu maana vita vya maslahi vinaweza hata kufuta mamilioni ya watu ili wachache wanufaike.

Ni hayo tu, bado tunamengi ya kujifunza hapo mashariki pa qfrika mashariki.
South Vietnam ilishindwa hata baada ya kuungwa mkono na mabeberu unless neno beberu linajumuisha China na Russia au former USSR
 
Hizo ni porojo
Ivanhoe Mines, Glencore na AngloGold Ashanti ni mabeberu wanaoshirikiana na serikali ya DRC.
Pia Wachina wako upande wa serikali.
 
Mabeberu wameamua
Mabeberu US na wenzake hakuna taifa ambalo litafanya mipango au miakakati isijue. Wataiuzia taarifa hizo.

Maneneru wanasilaha ambazo wakiipa nchi ndogo saizi ya hekari moja, Silaha moja tu ikitumiwa lazima uipigie magoti nchi hiyo ndogo.

Wanawdza kuiizia nchi ndogo taarifa za kiintelijensia wakafanya shambulio moja tu na mkubwa akakaa chini.

Labda ndio maana PK anampiga mkwara Ramaphosa.

Labda ndio maana PK anasema kuhusu Askari wa kukodi (mercenaries) yeye anauwezo uliopitiliza wa kuwapoteza ( overstocked)

Nimemsikia mwandishi mmoja anasema jamaa anakikundi cha crossboarder assassin ambao wanaweza kufika popote duinani kwa msaada wa marafiki zake.

Nimemsikia Msouth afrika mmoja anasema wanajeshi wao wameuliwa na Silaha kutoka Israel.

Nikamkumbuka Bwana Yesu qliposema "Kabla hujaingia vitani hesabu gharama kwanza", Ili kama humuwezi tengeneza amani mapema kabla ya hasara.

Wale jamaa M23 waliposema kupitia yule babi mwenye mandevu meupe kuwa wanaelekea Kinshasa kama, Waasi hao wanasapotiwa na PK na Marekani wanauweza wa kufika popote wanapotaka katika eneo la maziwa makuu.

Mwenye uwezo wa kumaliza vita hivyo sio PK, SADC au EA ni mbabe Donald Trump kama US walipoamua kumaliza Vita ya Angola 🇦🇴 kwa siku moja tu na Savimbi akarestishwa in peace.

Hii itawezekana kama maslahi ya wamagharibi mashariki ya Congo yatakuwa yamekamilika.

Binafsi huwa naomba Mungu aingilie kati tu maana vita vya maslahi vinaweza hata kufuta mamilioni ya watu ili wachache wanufaike.

Ni hayo tu, bado tunamengi ya kujifunza hapo mashariki pa qfrika mashariki.
 
South Vietnam ilishindwa hata baada ya kuungwa mkono na mabeberu unless neno beberu linajumuisha China na Russia au former USSR
Mabeberu ni West na US mkuu. Hao wengine ndio maana wanawekewa vikwazo lakini wao hawana uwezo wa kujibu
 
South Vietnam ilishindwa hata baada ya kuungwa mkono na mabeberu unless neno beberu linajumuisha China na Russia au former USSR
Mabeberu walikuwa hawajajipata vizuri enzi hizo. Ndio maana tangu miaka hiyo US hapigani vita vya maporini kama Russia. Atawatumia wengine kama Ukraine au Taiwan kumfanyia hiyo kazi.
 
Mabeberu US na wenzake hakuna taifa ambalo litafanya mipango au miakakati isijue. Wataiuzia taarifa hizo.

Maneneru wanasilaha ambazo wakiipa nchi ndogo saizi ya hekari moja, Silaha moja tu ikitumiwa lazima uipigie magoti nchi hiyo ndogo.

Wanawdza kuiizia nchi ndogo taarifa za kiintelijensia wakafanya shambulio moja tu na mkubwa akakaa chini.

Labda ndio maana PK anampiga mkwara Ramaphosa.

Labda ndio maana PK anasema kuhusu Askari wa kukodi (mercenaries) yeye anauwezo uliopitiliza wa kuwapoteza ( overstocked)

Nimemsikia mwandishi mmoja anasema jamaa anakikundi cha crossboarder assassin ambao wanaweza kufika popote duinani kwa msaada wa marafiki zake.

Nimemsikia Msouth afrika mmoja anasema wanajeshi wao wameuliwa na Silaha kutoka Israel.

Nikamkumbuka Bwana Yesu qliposema "Kabla hujaingia vitani hesabu gharama kwanza", Ili kama humuwezi tengeneza amani mapema kabla ya hasara.

Wale jamaa M23 waliposema kupitia yule babi mwenye mandevu meupe kuwa wanaelekea Kinshasa kama, Waasi hao wanasapotiwa na PK na Marekani wanauweza wa kufika popote wanapotaka katika eneo la maziwa makuu.

Mwenye uwezo wa kumaliza vita hivyo sio PK, SADC au EA ni mbabe Donald Trump kama US walipoamua kumaliza Vita ya Angola 🇦🇴 kwa siku moja tu na Savimbi akarestishwa in peace.

Hii itawezekana kama maslahi ya wamagharibi mashariki ya Congo yatakuwa yamekamilika.

Binafsi huwa naomba Mungu aingilie kati tu maana vita vya maslahi vinaweza hata kufuta mamilioni ya watu ili wachache wanufaike.

Ni hayo tu, bado tunamengi ya kujifunza hapo mashariki pa qfrika mashariki.
Kwasasa hiv mabeberu wameelemewa na wenyewe wanajiandaa kwa vita maana mrusi hatabiriki na mchina kuna hati hati utawala wa kibeberu ukafeli
 
Ajabu hakuna hata mmoja anaeongelea habari ya Ramaphosa kubadirisha maneno. Acha tuu tuwe tunaishi kwa hisani ya mzungu
 
Hiyo Ethiopia ina nini cha zaidi ya kugombaniwa na mabeberu ?
Hwajawahi kurudi huko hata katika ukoloni mambo leo maana hata wananchi wenyewe wanapakimbia. Hakuna ishu.
 
📌VITA HAPO CONGO ITAISHA PALE SIMU ZA BETRI NA MAGARI YA UMEME YATAKAPO KUWA SIO DILI TENA.

SO STAY TUNED HII MBUGI NDO KWANZA KUMEKUCHA.
Hivyo vita vimekuwepo hata kabla ya hivi vyote.
 
Back
Top Bottom