Jana wakati
naangalia taarifa
ya habari
mtangazaji
akasema "mpenzi
mtazamaji nataka nikupeleke moja
kwa moja hadi
marekani"
nikazima TV kwa
haraka nikaenda
kuvaa viatu. Hadi sasa hivi bado nimekaa
hapa sebuleni nahisi
bado
wanaihangaikia
Visa yangu.
mzungu: do you drink beer? mlevi: yes mzungu:is it happening regularly or occasionally mlevi:I drink occasionally but the occasion comes regularly mzungu:you will pay for your bill mlevi:pumbavuuuuuu maswali mengi kumbe huna kitu
Mzungu kwa ubahili utamuweza?we huoni ya makinikia?kutoka kupata noa mpaka 14500/kila kichwa.Wazungu wabahili asee!!Hawaliwi vyao bure si umeona bombadier?Ila JPM bana tena kidogo bana karibu tunafika ngarenaro