Nilichokiona leo na mbio za mfungaji bora

Nilichokiona leo na mbio za mfungaji bora

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Pamoja na Aziz Ki kufunga, bado hakukuwa na jitihada na mikakati ya dhati kumtengenezea mazingira ya kufunga zaidi. Dodoma FC walipoteana jumla lakini wachezaji wa Yanga walionekana kuridhika na kutokuwa na njaa na nia ya kunisaidia Ki aweze kuongeza idadi ya mabao.

Inaonekana Yanga hawana mzuka saaana na ishu ya mfungaji bora na/au kuna wivu na ubinafsi. Aziz Ki afanye jitihada binafsi kama ana nia ya kutwa kiatu vinginevyo sioni urahisi kwake kushinda tuzo hiyo
 
mtu atoke na goli 2 useme hakukua na jitiada na mtu huyohuyo achezeshwe dakika 90 we kweli zwazwa!
Soma vzr kabla unaandika. Nime-acknowedge hayo mabao lkn kulikuwa na potential ya kufunga zaidi. Seriousness haikuwepo. Pia ni vema ufikiri kabla hujaanza kusema wenzako kwa maneno mabaya. Haikupunguzii kitu ukiamua kutumia akili (kama unazo)
 
Soma vzr kabla unaandika. Nime-acknowedge hayo mabao lkn kulikuwa na potential ya kufunga zaidi. Seriousness haikuwepo. Pia ni vema ufikiri kabla hujaanza kusema wenzako kwa maneno mabaya. Haikupunguzii kitu ukiamua kutumia akili (kama unazo)
Wewe ndio umeandika utumbo na kutukataza tusifikirie zaidi ya huu utumbo wako. Ptuuuuuuu
 
Soma vzr kabla unaandika. Nime-acknowedge hayo mabao lkn kulikuwa na potential ya kufunga zaidi. Seriousness haikuwepo. Pia ni vema ufikiri kabla hujaanza kusema wenzako kwa maneno mabaya. Haikupunguzii kitu ukiamua kutumia akili (kama unazo)
zwazwa tu!.
 
Hicho unachokisema binafsi nimeki notice wakati naangalia mpira, hata game approach ya kocha alikuwa amechukulia mechi asiyoonesha anamtafutia mtu kitu ndio maana kamweka Azizi Ki na mchanganyiko na wakaa benchi.

Na wachezaji wengi waliokuwa na shauku ya kufanya mpira apewe Azizi Ki bali yeyote yule afunge. Nimeona hata Azizi Ki alikuwa yupo proud kwa kupeleka mipira kwa wenzie ambao wapo na position nzuri zaidi yake.

Lakini pamoja na hilo nadiriki kusema kuwa Azizi Ki kwa mechi mbili hizi kakosa umakini yeye mwenyewe wa kupachika magoli mengi.

Anapata nafasi nyingi tu ila umakini mdogo sijui ni kitete au vipi. Leo alikuwa anaondoka na magoli sio chini ya manne yeye kama yeye tu ila kazipoteza nafasi. Nadhani wachezaji wa Yanga wamekuwa kucheza kawaida kama wanacheza siku zote.
 
Hicho unachokisema binafsi nimeki notice wakati naangalia mpira, hata game approach ya kocha alikuwa amechukulia mechi asiyoonesha anamtafutia mtu kitu ndio maana kamweka Azizi Ki...
Inawezekana
 
Pamoja na Aziz Ki kufunga, bado hakukuwa na jitihada na mikakati ya dhati kumtengenezea mazingira ya kufunga zaidi. Dodoma FC walipoteana jumla lkn wachezaji wa Yanga walionekana kuridhika na kutokuwa na njaa na nia ya kunisaidia Ki aweze kuongeza idadi ya mabao...
Uwanja kama ule kutengeneza nafasi za mtu kufunga inakuwa ngumu sana.

Ila Mzize na max hata Guede nao Wana malengo Yao angalau wapate digit flani kujiweka katika nafasi nzuri msimu ukielekea mwisho
 
Back
Top Bottom