Soma vzr kabla unaandika. Nime-acknowedge hayo mabao lkn kulikuwa na potential ya kufunga zaidi. Seriousness haikuwepo. Pia ni vema ufikiri kabla hujaanza kusema wenzako kwa maneno mabaya. Haikupunguzii kitu ukiamua kutumia akili (kama unazo)mtu atoke na goli 2 useme hakukua na jitiada na mtu huyohuyo achezeshwe dakika 90 we kweli zwazwa!
Wewe ndio umeandika utumbo na kutukataza tusifikirie zaidi ya huu utumbo wako. PtuuuuuuuSoma vzr kabla unaandika. Nime-acknowedge hayo mabao lkn kulikuwa na potential ya kufunga zaidi. Seriousness haikuwepo. Pia ni vema ufikiri kabla hujaanza kusema wenzako kwa maneno mabaya. Haikupunguzii kitu ukiamua kutumia akili (kama unazo)
zwazwa tu!.Soma vzr kabla unaandika. Nime-acknowedge hayo mabao lkn kulikuwa na potential ya kufunga zaidi. Seriousness haikuwepo. Pia ni vema ufikiri kabla hujaanza kusema wenzako kwa maneno mabaya. Haikupunguzii kitu ukiamua kutumia akili (kama unazo)
Nimeona sehemu unamshushia bango mwenzako kaandika "ko" ukamwita shoga.Wewe ndio umeandika utumbo na kutukataza tusifikirie zaidi ya huu utumbo wako. Ptuuuuuuu
Hahaaaa kumbe unanifuatilia mkuu? Nimecheka kama mazuri.Nimeona sehemu unamshushia bango mwenzako kaandika "ko" ukamwita shoga.
Hilo neno kwenye njano maana yake nini🤔
Sikufatilii, nilikuwa nasoma uzi flani nikaona comment yako, narudi huku nakuona tena. Ni coincidence tuHahaaaa kumbe unanifuatilia mkuu? Nimecheka kama mazuri.
Tatizo lilikuwa kwa wachezaji waliopewa fursaMbn jitihada za watu wengine zimeonekana dhahiri ikiweko mchango wa Mzize kwenye goli la pili la Aziz Ki
Heee sawaWewe ndio umeandika utumbo na kutukataza tusifikirie zaidi ya huu utumbo wako. Ptuuuuuuu
Pro maxmtu atoke na goli 2 useme hakukua na jitiada na mtu huyohuyo achezeshwe dakika 90 we kweli zwazwa!
SawaPoint tatu kwa timu ndiyo kipaumbele sio tuzo binafsi ya mtu
InawezekanaHicho unachokisema binafsi nimeki notice wakati naangalia mpira, hata game approach ya kocha alikuwa amechukulia mechi asiyoonesha anamtafutia mtu kitu ndio maana kamweka Azizi Ki...
Sawazwazwa tu!.
Uwanja kama ule kutengeneza nafasi za mtu kufunga inakuwa ngumu sana.Pamoja na Aziz Ki kufunga, bado hakukuwa na jitihada na mikakati ya dhati kumtengenezea mazingira ya kufunga zaidi. Dodoma FC walipoteana jumla lkn wachezaji wa Yanga walionekana kuridhika na kutokuwa na njaa na nia ya kunisaidia Ki aweze kuongeza idadi ya mabao...