Nilijaribu kumchokoza mke wangu kuwa tungeenda kumpima mtoto wetu DNA...! Sasa nakosa sipati usingizi, kila wakati "Mimi nataka nikae na amani bwana..."!. Je, hii inaashiria nini? Ni uzushi, au ni kweli anataka akae na amani? Nifanyeje, hasa ukuzingatia kuwa kwa sasa kupima DNA ni mlolongo mrefu, tena ulio na complications nyingi?
Shukrani kwa wale woote walioweza kuchukua muda wao na kuchangia mawazo yao juu ya huli...! Lakini ieleweke tu kuwa "nilimchokoza", yaani nilimtania tu, kuona reaction yake. Ilikuwa ni namna ya kumsoma mwenzio kisirisiri tu. Lakini inauma kuambiwa kuwa kashamegwa na sasa anataka kuwa na amani, je ni amani ya kujulikana kuwa kasaliti ndio anataka?
Hii kauli yako wala siyo. wanandoa wanawindana kama hujuiWanaume wengine bwana kama hamuaminiani kwa nini mnakaa pamoja!
Hii kauli yako wala siyo. wanandoa wanawindana kama hujui
Kwenye hilo, wanawake wako sensitive, Na kwa vile ameonyesha kukubali, anauhakika ni wako. Yaishie hapo mwambie nimekubali wewe kweli ni wangu. Kama angekuwa na wasiwasi, asingetaka muende kupima ! kwa hiyo ulichotaka umeshapa, huhitaji tena ushauri ! Close th chapter, mtafutie zawadi nzuri!
Zawadi itakayomfaa ni kumpatia haki yake kisawasawa
Kapime tu upate uhakika,kwani watu wengi tu wamebambikiwa mtoto wa baba mwenza,cha msingi ukikuta sio wako wewe endelea na mkeo,na baba wa mtoto kama anaomshiko zaidi yako,itabidi alete pesa ya matunzo ya mtoto,ila hamna mtoto kwenda kwa baba yake,inshort analipia matunzo ila mtoto anabaki wako,afterall akigraduate chuo,returns utaanza kuziona.na hiyo inakuwa fundisho kwa wife,akicheza nje,asije ndani ya nyumba na masalio ya sperms za jamaa zake.