Nilichukua maamuzi magumu

Huo ndo uanaume ,ila kwenye kumsaidia mdogo wake umeyumba
 
naunga hoja mkono shikilia hapohapo.
 
Mm idd Amin dada na mobutu seseseko walikuja kwangu kwa nyakati tofauti kupata internship ya ukauzu kwa mambo kama haya

Nikupe hongera ukiona anakusumbua kwa namba nyingne mualike chakula Cha mchana mwekee na sumu afe kabisa
 
Sawa nunda
 
SAFI SANA HUKO NDIKO KUKUA
Yeah huyu sasa amekua MWANAUME KAMILI
hvyo ndivyo MWANAUME anatakiwa awe sio kulialia Unatakiwa mwanaume uwe na maamuzi magumu kama hayo we ni kutupa mrejesho tu kwa maauzi ulochukua
sio kulialia kuomba ushauri
Mm nampongeza sana
NASEMAJE WANAWAKE MNAOJIONA KEKI WAKATI MTU KAKUPENDA KWELI MWAKA HUU MTAISOMA NAMBA
 
Imara sana hiyo, angeendelea kumlilia inamaanisha demu atajiona keki na kusema anamtetemesha mwanaume...udhaifu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…