Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki

Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki

creophace

New Member
Joined
Aug 17, 2022
Posts
2
Reaction score
2
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
 
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
Nenda ktk ofisi za wakili yoyote yule mwelezee kwani atakupa barua ya kuwapelekea then watakupa majibu haraka.
Garama wakili ni elfu kumi tu kupata hiyo barua usiwe mwoga.
Pole
 
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
Rejea MKATABA wako na Taasisi ya Maboto unasemaje katika vipengele vya Marejesho ya mkopo na Usitishaji wa Mkataba (Kujitoa).
Ni hayo tu.
 
Bila shaka wewe utakua ni mwalim

Nakushauri nenda kwenye ofisi za takukuru utakuja kunishukuru baadae nmekaa pale nauza karanga za kuchemsha

N.B usikope Tena kwenye microfinance yoyote Ile hta iwe ya familia
Naomba mnieleweshe. Wanakataa kumpa balance ya deni kwa sababu wamesahau kuwa wanamdai au ni vipi? Ina maana kila mwezi halipi deni? Bongo ukikopa fedha hawakupi mkataba wenye mchanganuo wa kulipa? creophace Naomba jibu au mwingine mwenye jibu.
 
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
Uko sehemu gani kuna jamaa yangu ni wakili nitakuunganisha naye hawa maboto siyo wazuri kuna jamaa yangu walimzungusha hivi ila walimwachia.
 
Walimu wengi ni waoga sana hata kwenye kupigania haki zao
 
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
Hawataki wanasemaje? Maana lazima kuna maelezo wanayokupa, hawawezi tu kusema hawataki
 
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
Bayport
Platinum
Maboto
Kekundu
Chakubanga
Kibwengo
Nyoronyoro
Utopolo
Hao ni hatariiii kwa uchumi wako
Ukiingia huko utafilisika mpaka ujute
Bora ukope bank au Sacco's ila sio kwenye hao matapeli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mpigie maboto mwenyewe sasa hivi ni Mbunge, mtetezi wa wanyonge. Njoo PM nikupe namba yake.
 
Bila shaka wewe utakua ni mwalim

Nakushauri nenda kwenye ofisi za takukuru utakuja kunishukuru baadae nmekaa pale nauza karanga za kuchemsha

N.B usikope Tena kwenye microfinance yoyote Ile hta iwe ya familia
Hizi microfinance huwa zime jaa utapeli....na wakikuona mjanjanja kuwazidi wao hawakupi
 
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba mnisaidie maana nimekosa jambo la kufanya
subiri nitakupa majibu kamili badaye kama uzi wako utakuwepo.Au njoo inbox
 
Hizi microfinance huwa zime jaa utapeli....na wakikuona mjanjanja kuwazidi wao hawakupi
Nakumbuka nilienda siku moja kwa ajili ya mkopo wa miezi 4. Wakanipa limkataba lirefu , wanataka u sign bila kusoma. Wakanijazia taarifa za uongo eti nina duka sijui Tabata. Wee niliwawashia moto nikawaambia nawapeleka BOT sasa hivi. Hawakunipa mkopo tena maana waliona hii namba sio.
 
Nakumbuka nilienda siku moja kwa ajili ya mkopo wa miezi 4. Wakanipa limkataba lirefu , wanataka u sign bila kusoma. Wakanijazia taarifa za uongo eti nina duka sijui Tabata. Wee niliwawashia moto nikawaambia nawapeleka BOT sasa hivi. Hawakunipa mkopo tena maana waliona hii namba sio.
Nyingi tu mimi huwa naenda wananinyima ....yaani niamue kumtumia mtu ndio napata
 
Back
Top Bottom