Nilidanganya kuwa mama amefariki ili nipate msaada, roho yangu inahuzunika sana

Pumbavu... unafkiri amekaa anawaza kukuandia wewe usome muda wote...bro tumia kichwa kikubwa kufikirika...unatumia Cha chini kufkiri ndo mana unaonekana zambwa
Yani utafikiri watu wanalipia vile,
Halafu wakiambiwa wahamie telegram, au wachangie wanaanza Shombo.
 
mkuu inawezekana mtaa niliokulia arusha ilikuwa ukiona mtu anainama kama anafunga kamba ya kiatu upigwa teke la kalio vibaya mno..
 
Sijui nikupe hongera au pole.

Nachagua kukupa hongera maana umeyashinda mengi ambayo yangekurudisha nyuma.

Kwenye kupambania maisha tunafanya mengi ya hatari na hilo lako la kumsingizia mama kifo likiwemo.

Hujawahi muacha mama mpweke na mengi umefanya kwa ajili yake.

Siku ukienda kumtembelea mwambie tu. Atakuangalia na atakuona ni mwanaume uliyekamilika na atakusamehe.

Utaishi kwa amani sana baada ya hapo.
 
Well, shukran Sana mkuu. Nitajitoa ufahamu namchana live
 
Mkuu nimesoma hii hadithi nimekumbuka ile novel ya "Is it Possible?" Nadhani kwasababu umetaja Maasai na Arusha!

Ila all all Mungu Mkubwa! Naona mwanga mbele ya safari ya Maisha yako! Mungu akutangulie.!
nakitafuta sana hicho kitabu iwe soft copy au hard copy.kama unacho au unajua popote pa kukipata naomba msaada wako chief.
[emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969][emoji2969]
 
Dah, Mkuu mimi pia nakitafuta mno yaani!
 
Dogo any update?
Nimepata kibarua/kazi mkuu.

Napiga usiku, mchana sometimes napiga/natafuta vibarua vya hapa na pale pia kama kuosha magari, pikipiki, saidia fundi n.k..

Naendelea kuufahamu mji kidogo kidogo.

Hicho ndicho ninachoweza kumshukuru MUNGU hadi sasa mkuu.

KARIBU MKUU, japo umetia kufuli chemba cha PiiEmu πŸ˜€ πŸ˜€
 
Safi kbs..usome tu taratibu ..ntakuja jioni..acha nami nitafute
 
Nilikuja kusikia kwamba mkuu wa shule anamshinikiza huyo dada aache kunisomesha kwani Hata yeye alijisomesha kwa kuuza maji hivyo vijana wa sikuizi tunadeka Sana na hatupo tayari kujitosa kikamilifu kwenye mapambano ya maisha.

Da
 
Nilikuja kusikia kwamba mkuu wa shule anamshinikiza huyo dada aache kunisomesha kwani Hata yeye alijisomesha kwa kuuza maji hivyo vijana wa sikuizi tunadeka Sana na hatupo tayari kujitosa kikamilifu kwenye mapambano ya maisha.

Da
Kuna watu wakaanga rungu si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…