Nilidanganywa kuhusu honeymoon (fungate)

Kwa mara yakwanza nasikia kuna mwanaume amefanya mara 3 juu juu hahahahahahahah ama Kweli Dunia Ina mengi.
Yaani mara ya 1 juu juu tu
Mara ya 2 juu juu
Mara ya 3 juu juu

Hahahaha labda kma Sio mwanaume kamili ila kwa mwanaume halisi hilo swala la juu juu huwezi lazima ngoma izame kimyani Kwa namna yoyote 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…