Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
nimeshapoa mkuu[emoji3][emoji3]Pole
kwa nini mkuu ?Hahahaha chuo umeenda kuzuga zuga tu jamaa angu 😛 😛 inaonekana wewe ni Chicken head .
Akili yangu imeshaathirika mkuu siwezi soma bila demu nilidanganywa nikifika chuo nitapata demu lakini mpaka sasa sijafanikiwaHahah now mademu wanapenda chapaa soma kwanz
Mkuu fanya kilichokupeleka chuo manake at the end of the day utajikuta hata anaekusomesha ana kata tamaa na wewe hapo ndo utakapokumbuka kuwa dunia haina huruma ndugu yangu,kwa nini mkuu ?
kabisa mkuu chuoni hakuna mademu kabisa stori za vijiweni zilinidanganyaKatika miaka mitatu niliokaa xhuo xikuwah kuwa na demu... unajua kwann? Mademu walio wengi wamekaa kimbuzi mbuzi yaan...
ukiwa Mr A katika masomo watajisogeza wenyewe, na wakati wa mitihani wengine watalala chumbani kwako kabisa.Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe
Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania
Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi
Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Kama ulivyokuwa brainwashed na vitu vingine vingi pia... sio hayo tu. Umepotoshwa kwenye mengi mno. Mengine mpaka unaenda kaburini hautayajua...Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe
Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania
Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi
Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Watalalaje wakati sisi course tunayosoma kuna dem mmoja na tupo 56.Demu mwenyewe wa hovyoo course yenyewe ni Mech eng.ukiwa Mr A katika masomo watajisogeza wenyewe, na wakati wa mitihani wengine watalala chumbani kwako kabisa.
Boom atakuwa kapata.Umepata boom??