ConsciousMan
Member
- Mar 28, 2018
- 58
- 70
Hapa karibuni niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja wa makamo hivi, alikuwa kwenye miaka 43+ na mimi kwenye 25+.
Before hatujaanza kudate aliniuliza kwanini nimeamua kumpenda mwanamke kama yeye ilhali ni mkubwa mno kiumri kwangu.
Kwa kweli nikamjibu kuwa nimechoka na drama za girls of my age. Mambo ya calling all the times, wivu kupindukia, kuomba omba hela, kuzungushwa kwenye gem ndo moja ya vitu vilivyonichosha.
Akanielewa na akaridhia ombi langu.
Lakini cha ajabu penzi lilipokolea, na yeye akaanza kufanya the very same things ambavyo girls on my age wanafanya. Things like wivu sana, usipopokea on time simu anasema unamcheat, ukichelewa kujibu text anakasirika eti unachat na mchepuko and staffs like that.
Je, guys ni kweli hata mwanamke awe mkubwa vipi hizi drama huwa ni ngumu kuziacha?
Before hatujaanza kudate aliniuliza kwanini nimeamua kumpenda mwanamke kama yeye ilhali ni mkubwa mno kiumri kwangu.
Kwa kweli nikamjibu kuwa nimechoka na drama za girls of my age. Mambo ya calling all the times, wivu kupindukia, kuomba omba hela, kuzungushwa kwenye gem ndo moja ya vitu vilivyonichosha.
Akanielewa na akaridhia ombi langu.
Lakini cha ajabu penzi lilipokolea, na yeye akaanza kufanya the very same things ambavyo girls on my age wanafanya. Things like wivu sana, usipopokea on time simu anasema unamcheat, ukichelewa kujibu text anakasirika eti unachat na mchepuko and staffs like that.
Je, guys ni kweli hata mwanamke awe mkubwa vipi hizi drama huwa ni ngumu kuziacha?