GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuanzia leo nitaacha rasmi Kuwalaumu Marefa wa Afrika kwa Kuvurunda kwa Kupendelea katika Ligi zetu na Mashindano yetu mbalimbali kwani kumbe huu Ugonjwa Sugu wa Marefa hauko tu Afrika na kwamba hata Ulaya kwa tunaowaamini nao uko?
Naomba kujua tatizo la Goli la Netherlands ambalo Kwangu Mimi GENTAMYCINE na kwa Utaalam wangu naona ni Goli halali kabisa. Sasa naanza kuamini kuwa Waamuzi wengi na wale walioko katika VAR huenda kweli wakawa ama Wanabeti au huwa na Chuki na Wachezaji fulani wa Timu Kubwa Kubwa.
Netherlands wameonewa na wamenyimwa Goli lao halali kabisa.
Naomba kujua tatizo la Goli la Netherlands ambalo Kwangu Mimi GENTAMYCINE na kwa Utaalam wangu naona ni Goli halali kabisa. Sasa naanza kuamini kuwa Waamuzi wengi na wale walioko katika VAR huenda kweli wakawa ama Wanabeti au huwa na Chuki na Wachezaji fulani wa Timu Kubwa Kubwa.
Netherlands wameonewa na wamenyimwa Goli lao halali kabisa.