Nilidhani ni Robetinyo tu ndiyo ana 'Bifu' na Phiri kumbe hata Gamondi nae hamtaki na ana 'Bifu' pia na Skudu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ficheni tu na kaeni Kushadadia / Kushupalia ya Phiri na Robetinyo wakati kumbe hata Kwenu Skudu na Gamondi haziivi na tabasamu mnaloona wanawapeni ni la Kinafiki na Kuwazugeni tu.

Halafu mwambieni Gamondi kwakuwa akiwa Avic Town Kigamboni ( Kambini ) Mazoezini huwa Anamchunia ( Hamsemeshi ) Skudu basi hata akiwa katika Mechi mbele ya Mashabiki awe anaendelea kufanya hivyo hivyo na asiwe Mnafiki.

Fanyeni muwezavyo J'2 Mnafungwa.
 
HATA KAMA HUJUI MPIRA SKUDU SI MCHEZAJI WA KUANZA YANGA

Skudu si mchezaji mzuri

Nafasi ya skudu ina washindanI wafuatao

1. Max nzegeli.
2.Jesus MoloKo.
3. Kumbuka pia sometimes azizi ki anatokea pembeni au pakome.

Angalau ungesema kibwana
 
Skudu ni entertainer zaidi acha atupe raha msimu mmoja atarudi zake jberg maisha yataendel3aa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…