max as well
Senior Member
- Sep 10, 2023
- 141
- 315
Kifupi tu nilikutana na Binti mtaani nikashoboka namba, akanipa mtoto ni pisi iliyonyooka mavaz juu kafunika Hadi macho(ila si muislam)
Nikaomba urafiki akanikubalia, nikaenda chapu kwenye lengo kuu(sex), mtoto kagoma anaitaj ndoa, akaanza kuniingia kwa fikra, ananishauri mambo makubwa, nikataka vuta jiko,
Kwa misala niliyopitia sikumuamin ghafla ikabidi nizame ndichi kutengeza akaunti feki kuanza kumtrace,
Tukazama social network nikapewa namba mtoto kaanza kufunguka, kunitumia picha za kutosha nikaomba Hadi necked photo zimetumwa nikaumia sana
Yaani mtu asiejulikana anamtumia ad picha chafu uko mitaani itakuaje.
Nilitaka nimfanye wife japo moyo unauma ila kwa tabia hii hakuna.
Kwa jinsi alivyomzuri uko mbele tusije lipuana kwa magunia ya mkaa bule.
Atabaki mchepuko wa kusuuza moyo.
Ila kwa huyu Binti kanifanya msemo wangu niukazie zaidi NEVER TRUST A WOMAN
Ukitaka kumjua mtu wako trace simu yake,kesho asubui unapata jibu
Ila usilete maafa
Wasalaam
Nikaomba urafiki akanikubalia, nikaenda chapu kwenye lengo kuu(sex), mtoto kagoma anaitaj ndoa, akaanza kuniingia kwa fikra, ananishauri mambo makubwa, nikataka vuta jiko,
Kwa misala niliyopitia sikumuamin ghafla ikabidi nizame ndichi kutengeza akaunti feki kuanza kumtrace,
Tukazama social network nikapewa namba mtoto kaanza kufunguka, kunitumia picha za kutosha nikaomba Hadi necked photo zimetumwa nikaumia sana
Yaani mtu asiejulikana anamtumia ad picha chafu uko mitaani itakuaje.
Nilitaka nimfanye wife japo moyo unauma ila kwa tabia hii hakuna.
Kwa jinsi alivyomzuri uko mbele tusije lipuana kwa magunia ya mkaa bule.
Atabaki mchepuko wa kusuuza moyo.
Ila kwa huyu Binti kanifanya msemo wangu niukazie zaidi NEVER TRUST A WOMAN
Ukitaka kumjua mtu wako trace simu yake,kesho asubui unapata jibu
Ila usilete maafa
Wasalaam