Niliemuamini ni kondoo kumbe ni chui duma

Niliemuamini ni kondoo kumbe ni chui duma

max as well

Senior Member
Joined
Sep 10, 2023
Posts
141
Reaction score
315
Kifupi tu nilikutana na Binti mtaani nikashoboka namba, akanipa mtoto ni pisi iliyonyooka mavaz juu kafunika Hadi macho(ila si muislam)

Nikaomba urafiki akanikubalia, nikaenda chapu kwenye lengo kuu(sex), mtoto kagoma anaitaj ndoa, akaanza kuniingia kwa fikra, ananishauri mambo makubwa, nikataka vuta jiko,

Kwa misala niliyopitia sikumuamin ghafla ikabidi nizame ndichi kutengeza akaunti feki kuanza kumtrace,

Tukazama social network nikapewa namba mtoto kaanza kufunguka, kunitumia picha za kutosha nikaomba Hadi necked photo zimetumwa nikaumia sana

Yaani mtu asiejulikana anamtumia ad picha chafu uko mitaani itakuaje.

Nilitaka nimfanye wife japo moyo unauma ila kwa tabia hii hakuna.

Kwa jinsi alivyomzuri uko mbele tusije lipuana kwa magunia ya mkaa bule.

Atabaki mchepuko wa kusuuza moyo.

Ila kwa huyu Binti kanifanya msemo wangu niukazie zaidi NEVER TRUST A WOMAN

Ukitaka kumjua mtu wako trace simu yake,kesho asubui unapata jibu

Ila usilete maafa

Wasalaam
 
Ulifanya yote hayo ya nini Mkuu?

Wewe utakuwa sio muoaji, maana nina uhakika nae angekuchunguza kwa njia hiyo angekupata kirahisi.

Lada nae anatetea ugali wake wa ndoa kama wewe ameona kalenda ni nyingi huwenda alikuwa anajaribu kupata mtu yupo serious huko ulikomcheki.
 
Ulifanya yote hayo ya nini Mkuu?

Wewe utakuwa sio muoaji, maana nina uhakika nae angekuchunguza kwa njia hiyo angekupata kirahisi.

Lada nae anatetea ugali wake wa ndoa kama wewe ameona kalenda ni nyingi huwenda alikuwa anajaribu kupata mtu yupo serious huko ulikomcheki.
Mkuu niliwai fika hatua mbaya sana ad kuwaza kujeruhi au kuua mtu kisa kuumizwa/usaliti,

Hii inanifanya niwe makini sana kumtambua mtesi wangu wa badae kabla sijaingia matatizoni,hivyo vetting before trust ni lazima
 
Kifupi tu nilikutana na Binti mtaani nikashoboka namba, akanipa mtoto ni pisi iliyonyooka mavaz juu kafunika Hadi macho(ila si muislam)

Nikaomba urafiki akanikubalia, nikaenda chapu kwenye lengo kuu(sex), mtoto kagoma anaitaj ndoa, akaanza kuniingia kwa fikra, ananishauri mambo makubwa, nikataka vuta jiko,

Kwa misala niliyopitia sikumuamin ghafla ikabidi nizame ndichi kutengeza akaunti feki kuanza kumtrace,

Tukazama social network nikapewa namba mtoto kaanza kufunguka, kunitumia picha za kutosha nikaomba Hadi necked photo zimetumwa nikaumia sana

Yaani mtu asiejulikana anamtumia ad picha chafu uko mitaani itakuaje.

Nilitaka nimfanye wife japo moyo unauma ila kwa tabia hii hakuna.

Kwa jinsi alivyomzuri uko mbele tusije lipuana kwa magunia ya mkaa bule.

Atabaki mchepuko wa kusuuza moyo.

Ila kwa huyu Binti kanifanya msemo wangu niukazie zaidi NEVER TRUST A WOMAN

Ukitaka kumjua mtu wako trace simu yake,kesho asubui unapata jibu

Ila usilete maafa

Wasalaam
Tete elimu kidogo mkuu, vipi unaweza kum-trace mtu anayetumia kitochi? Kuna mambo naona hayajakaa sawasawa
 
You have lose you are not supposed to entetain mwanamke you have to handle them with brain most of them act like a cat but at the same time they're snake DON'T LOOSE MASCULARNIT
 
Ukitaka kumjua mtu wako trace simu yake,kesho asubui unapata jibu
Kwa kilichonikuta SITAKI tena habari za kuwaamini Wanawake

MIMI ndio mwanaume pekee niliefuma voice notes za manzi akifurahia alivyokua akiliwa nyuma na kutifuliwa mtaro manzi ukimuona ni church girl mlokole vibaya sana ila sasa deep inside ana tabia chafu ambazo bila kua na intelijensia ya juu huwezi kujua na nakumbuka ulikua ugomvi mkubwa sana nusura nimkate makofi na mangumi mbele ya ukoo wake ilibakia robo yaan kidogo tu sasa hivi ningekua zangu nanyea debe pale keko magulumbasi Ukonga Segerea napigwa na chawa na kunguni, nakumbuka neno la mwisho nililoambiwa ni 'kwani mku*** si wa kwangu bwana wewe unakuhusu nini' na kuanzia siku hio simuamini Mwanamke yoyote duniani hata Mama yangu mzazi simuamini nisije nikasema vibaya ila that's all I don't trust no woman
 
Back
Top Bottom