Nilifanya diet nikapitiliza nifanyeje?

Nilifanya diet nikapitiliza nifanyeje?

Ze burner

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
514
Reaction score
83
Niliamua ku practice diet kama ilivyo kwetu wengi baada ya kusumbuliwa na kifriza kwa muda hivi. Aiseee! Nashuru sana ndani ya muda mchache nilipata matokeo chanya na hivi sasa nna kama nusu mwaka tena bado niko model. Tatizo kwa sasa nalazimika kubadili nguo zote kwa maana zote zimekuwa kubwa. Nimeamua kuacha diet ili kurudisha mwili kidogo walau niweze kuvaa baadhi tu ya nguo bado mwili umekataa kabisa kuongeza nyama. Sasa nimeongeza spidi ya kula kuliko mwanzo na bado empty. Naomba nifanyeje mana hadi za ndani zinapwerepweta sasa na kiukweli mimi haka kamwili hapana urudi tu uleule.
 
Mkuu hebu naomba unipatie formula ya diet uliyoitumia na mimi niifuate,nina uzito mkubwa ambao ni hatari kwa afya yng
 
Baki na Mwili huo huo utakuwa salama. Kuna watu wanataka kuwa kama wewe lakini wanashindwa ...unene sio sifa... Kisukari kinakamata wengi saiv si kawaida. Nunua tu nguo mpya..
 
Niliamua ku practice diet kama ilivyo kwetu wengi baada ya kusumbuliwa na kifriza kwa muda hivi. Aiseee! Nashuru sana ndani ya muda mchache nilipata matokeo chanya na hivi sasa nna kama nusu mwaka tena bado niko model. Tatizo kwa sasa nalazimika kubadili nguo zote kwa maana zote zimekuwa kubwa. Nimeamua kuacha diet ili kurudisha mwili kidogo walau niweze kuvaa baadhi tu ya nguo bado mwili umekataa kabisa kuongeza nyama. Sasa nimeongeza spidi ya kula kuliko mwanzo na bado empty. Naomba nifanyeje mana hadi za ndani zinapwerepweta sasa na kiukweli mimi haka kamwili hapana urudi tu uleule.
alitaka kuwa slim, mwenyezi Mungu kampatia tena kakiri kiroho safi, nguo zimeleta kasheshe anataka tena urudi mwili ule ule...wakisema wanawake hawajui wanachotaka naanza kuamini taratibu.
 
Niliamua ku practice diet kama ilivyo kwetu wengi baada ya kusumbuliwa na kifriza kwa muda hivi. Aiseee! Nashuru sana ndani ya muda mchache nilipata matokeo chanya na hivi sasa nna kama nusu mwaka tena bado niko model. Tatizo kwa sasa nalazimika kubadili nguo zote kwa maana zote zimekuwa kubwa. Nimeamua kuacha diet ili kurudisha mwili kidogo walau niweze kuvaa baadhi tu ya nguo bado mwili umekataa kabisa kuongeza nyama. Sasa nimeongeza spidi ya kula kuliko mwanzo na bado empty. Naomba nifanyeje mana hadi za ndani zinapwerepweta sasa na kiukweli mimi haka kamwili hapana urudi tu uleule.
Tupe namna hiyo ya diet
 
Tupe namna hiyo ya diet
Simple, just cut 80% carbs food, na zaidi kata rice n ugali. eat more protein km vile nyama, mayai mbogamboga. Matunda kwa sana. Ivo vitu kula shibe yako na maji mengi utakuja kunishukuru
 
Baki na Mwili huo huo utakuwa salama. Kuna watu wanataka kuwa kama wewe lakini wanashindwa ...unene sio sifa... Kisukari kinakamata wengi saiv si kawaida. Nunua tu nguo mpya..
Hivi watu wembamba hawaumwi kisukari?
 
Back
Top Bottom