Nilifanya mapenzi kinyume na maumbule 2016, mwaka huu imemfanya mchumba wangu kuniacha kabla ya ndoa!

Sasa hivi takua nakagua mtu before..... Ili nijue kama ni muumini wa huki chama cha vikuku
 
Hapa sijaelewa.
Wewe ni George. Hilo ndilo jina lako,wewe ni George.
Baada ya kuwa wewe ni George,wewe umefanya mapenzi na boyfriend wako,licha ya kwamba wewe ni George.
Sasa wewe ni George au wewe ni Georgina, sijaelewa.
Georgina huyo...
Mkuu huyu mi namjua mpaka alipo kwa sasa ahahah
 
😂😂🌝🌝
 
Mungu kaonesha ufalme wake kupitia rafiki Ili kijana wa TRA asiingie kwenye majanga ya huyu dada,, shida sio rafiki yeye mwenyewe km angeiuwa na matendo ya kumpendeza mungu..rafiki angetoa wapi habari chafu hizo...ukitenda one-day utakulipa wema wako na utenda baya one-day utakulipa ubaya wako
 
Duuh
 
 
Depal Certified Hater x
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…