Nilighairi kumuoa binti baada ya kugundua amekeketwa

Wanakuwa hawana hisia ninavyoskia bora ulivyopiga chini mimi sijawahi Kutana nao

Nataka siku moja nikutane nao nione utofauti
 
Wanafika vizuri tu,ukishajua eneo lake la hisia unadili nalo huku unapiga mashine mbona dk 0 tu kesi inakwisha!.
Ni kweli kabisa mkuu, nina experience na mmoja wale weupeee wa huko kaskazini!
 
Nina demu mmasai ni mzuri by appearance Ila kaleketwa ..aliniomba msamaha Kwa kosa walilomfanyia wazazi wake kumkata antenna yake.
 
Hahahaha..
Kumbe kama antenna hakuna lzm uandae mafuta ya nazi kabla?!!!
 
Wanaume bhana,yaan mnachaguachagua mpaka mnaambulia pua.Mtu akikupenda inatosha.mnataka nn nyie?
πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€ Ushauri Mujarabu
Maeneo Yetu Kitunda, Kibeberu, Mwanagati, Kwa Mpemba, Mwembeni, Kivule
Raha Sana
 
πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€ Ushauri Mujarabu
Maeneo Yetu Kitunda, Kibeberu, Mwanagati, Kwa Mpemba, Mwembeni, Kivule
Raha Sana
Ha ha haa,haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…