Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutika kesi za CAG, walio ainishwa wote wanatokea CCM , je waliwahi kuwajibishwa? Kwa hiyo tuiichague Ccm maana wahusika wako hadi bungeni na hawashtakiwi?Misimamo ya Sukuma gang ipo wazi Demokrasia sio kipaumbele ni kazi tu
CHADEMA hawana chochote wanachosimamia ,haijulikani wanapinga ufisadi au la
View attachment 3070467View attachment 3070468
Sasa watatokaje CHADEMA ?Kutika kesi za CAG, walio ainishwa wote wanatokea CCM , je waliwahi kuwajibishwa? Kwa hiyo tuiichague Ccm maana wahusika wako hadi bungeni na hawashtakiwi?
So unakiri wanatoka CCM? Je chama kimefanya nn kuhusu hao watuhumiwa?Sasa watatokaje CHADEMA ?