Makusaro ndetengo
Member
- Jun 21, 2013
- 7
- 3
Jamani anayefahamu dawa au sumu inayomaliza kabisa mende aniambie hawa mifugo kwangu wamekua kero napuliza dawa lkn hawafi ndio sanazid kunenepa na kuzaliana kwa wingi.
DAWA IPI AU SUMU GANI NI BOMBA AU NITUMIE NN?
DAWA IPI AU SUMU GANI NI BOMBA AU NITUMIE NN?