Makusaro ndetengo
Member
- Jun 21, 2013
- 7
- 3
jamani anayefahamu dawa au sumu inayomaliza kabisa mende aniambie hawa mifugo kwangu wamekua kero napuliza dawa lkn hawafi ndio sanazid kunenepa na kuzaliana kwa wingi. DAWA IPI AU SUMU GANI NI BOMBA AU NITUMIE NN?
Tumia Rungu ila baada ya kupuliza chumba funga milango na madrisha at least for 3-4days then fungua na fagia na kupiga deki. Hakikisha mayai yao yote unayaharibu then zingatia usafi wa mara kwa mara. All the best.
ilo tatizo si lako peke yako hata mie nasumbuliwa na hilo pia..